Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
MangungoWale Mabaunsa nani aliwatuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MangungoWale Mabaunsa nani aliwatuma?
Usikariri kanuni mlizoea uhuni na utoto simba wamenifurahishaHakuna kanuni inayosema ukinyimwa uwanja ugome kupeleka timu uwanjani. Acheni janja janja
Kwa akili hizi, ndio maana mashabiki wa Simba walikimbilia kung’oa viti kisa tu kuna mchezaji wao kafanyiwa faulo mbaya matokeo yake adhabu ya CAF ikawapataEbu tuangalie kiini cha tatizo kwanza. Ni kwanini Yanga mliwazuia Simba wasiingie uwanjani?
SSHMuda utaamua ila sidhani kama itawezekana