sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Baada ya Mnyama mkali mwituni, asiye na masihara kabisa akiwa mawindoni, Simba SC kutakata ipasavyo, katika kila windo analoingia.. Sasa ni zamu ya vijana toka Manungu [Mtibwa Sugar] kukutana na dhahama lake.
Lini? Ni jumapili ya wiki hii [ 11.09.2016] katika dimba la Shamba la Bibi ambapo Mnyama anahistoria kubwa sana katika uwanja huo.
Ombi langu kwa Thobias Kifaru na vijana wake.
Kabla ya ligi kuanza Kifaru alitamka.. "Mtu yoyote ambaye ni mwanamichezo atakubaliana nami, Yanga ndo bingwa wa msimu huu, Azam itamaliza nafasi ya pili na Simba nafasi ya tatu".
Naheshimu mawazo yake, ila najiuliza kama tatu bora ndo ziko hivyo, Mtibwa wanashiriki ligi ili iweje??
Kifaru na Vijana wako, 11.09.2016 tutawaonesha ni kwa jinsi gani tumejipanga vyema kuibuka mabingwa wa VPL msimu huu na kuwa "wawakilishi bora" wa Kimataifa na si kuwa "wawakilishi uchwara".
Baada ya kutoa suti Mtwara.. Mtaa wa pili nako hali ya hewa ikoje??
Katibu wao aibuka.. “Sisi tumeondoka leo Mtwara, tutafika Dar es Salaam mchana na hatutafanya mazoezi leo. Kesho ni Ijumaa na keshokutwa Jumamosi tuna mechi nyingine, wakati Simba waliocheza jana Dar es Salaam wana mechi nyingine Jumapili”.
Kwanini myaone haya leo wakati ratiba imetoka muda sana?
Nishaanza kuona dalili za mtu kukimbia uwanja 01.10.2016.
SIMBA SPORTS CLUB, NGUVU MOJA.
Lini? Ni jumapili ya wiki hii [ 11.09.2016] katika dimba la Shamba la Bibi ambapo Mnyama anahistoria kubwa sana katika uwanja huo.
Ombi langu kwa Thobias Kifaru na vijana wake.
Kabla ya ligi kuanza Kifaru alitamka.. "Mtu yoyote ambaye ni mwanamichezo atakubaliana nami, Yanga ndo bingwa wa msimu huu, Azam itamaliza nafasi ya pili na Simba nafasi ya tatu".
Naheshimu mawazo yake, ila najiuliza kama tatu bora ndo ziko hivyo, Mtibwa wanashiriki ligi ili iweje??
Kifaru na Vijana wako, 11.09.2016 tutawaonesha ni kwa jinsi gani tumejipanga vyema kuibuka mabingwa wa VPL msimu huu na kuwa "wawakilishi bora" wa Kimataifa na si kuwa "wawakilishi uchwara".
Baada ya kutoa suti Mtwara.. Mtaa wa pili nako hali ya hewa ikoje??
Katibu wao aibuka.. “Sisi tumeondoka leo Mtwara, tutafika Dar es Salaam mchana na hatutafanya mazoezi leo. Kesho ni Ijumaa na keshokutwa Jumamosi tuna mechi nyingine, wakati Simba waliocheza jana Dar es Salaam wana mechi nyingine Jumapili”.
Kwanini myaone haya leo wakati ratiba imetoka muda sana?
Nishaanza kuona dalili za mtu kukimbia uwanja 01.10.2016.
SIMBA SPORTS CLUB, NGUVU MOJA.