Zantel iko ICU?

Zantel iko ICU?

kichwat

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
1,819
Reaction score
588
Wafanyakazi wa Zantel kitengo cha Customer Care 'waliouzwa' kinyemela kwa kampuni nyingine hawajalipwa kwa miezi 2 sasa. Haijulikani kama sababu ya mwajiri mpya kushindwa kuwalipa ni kutokana na yeye kutolipwa na Zantel kwa kipindi hicho, ambya ni dalili kwamba Zantel iko ICU. Vinginevyo kikawaida kabisa, Zantel ingewalipa halafu ikamalizana na jamaa mpya.

Wenye sim card za Zantel anzeni kutafuta alternatives mapema.
 
Nani kanunua hiyo Zantel? Ina maanisha ni Etisalaat au?
 
Back
Top Bottom