Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 161
Zantel wameondoa huduma ya GPRS kuunganisha kwenye computer, ni wiki ya pili sasa najaribu kutumia simu yangu kuunganisha internet kwenye laptop yangu bila mafanikio yoyote.
Kila nikiunganisha ina connect ikifika sehemu ya kuregister kwenye computer ina goma na kuniletea meseji "subscribe to packet data first" ingali configuration setting za zantel zipo na siku zote ndizo ninazo tumia kuunganisha huduma ya internet kwenye computer yangu. Leo nimewapigia simu zantel kitengo cha huduma ya Internet na kuwaambia tatizo langu wakanijibu kuwa "Zantel hiyo huduma ya kutumia simu kuunganisha na computer upate huduma ya internet tumeiondoa kwa sababu watu wengi wanatumia isivyo takiwa, hiyo huduma tuliitoa kwajili ya matumizi ya ndani ya simu tu na sio kuunganisha hiyo hudumu kwenye laptop or desktop, hivyo hutoweza kuunganisha tena hiyo huduma kwenye laptop yako zaidi utatumia ndani ya simu tu… kama unataka huduma ya Internet kwenye laptop yako njoo ofisini kwetu ununue modem"
Hayo ndio majibu kutoka kwa custormer services wa zantel ambayo yameniacha hoi!
Napenda kuwauliza wadau wengine je na nyie mmekumbana na tatizo kama hili?
Kila nikiunganisha ina connect ikifika sehemu ya kuregister kwenye computer ina goma na kuniletea meseji "subscribe to packet data first" ingali configuration setting za zantel zipo na siku zote ndizo ninazo tumia kuunganisha huduma ya internet kwenye computer yangu. Leo nimewapigia simu zantel kitengo cha huduma ya Internet na kuwaambia tatizo langu wakanijibu kuwa "Zantel hiyo huduma ya kutumia simu kuunganisha na computer upate huduma ya internet tumeiondoa kwa sababu watu wengi wanatumia isivyo takiwa, hiyo huduma tuliitoa kwajili ya matumizi ya ndani ya simu tu na sio kuunganisha hiyo hudumu kwenye laptop or desktop, hivyo hutoweza kuunganisha tena hiyo huduma kwenye laptop yako zaidi utatumia ndani ya simu tu… kama unataka huduma ya Internet kwenye laptop yako njoo ofisini kwetu ununue modem"
Hayo ndio majibu kutoka kwa custormer services wa zantel ambayo yameniacha hoi!
Napenda kuwauliza wadau wengine je na nyie mmekumbana na tatizo kama hili?