Picha tafadhaliHaya mashindano ya chini ya miaka 15 ni ya kijinga sijui ni kwa faida ya nani?
Timu nyingi zimepeleka vijana zaidi ya miaka 18 huku vyeti vyao vikisoma miaka 14 Hadi 15.
Huyu Halaand wa unguja ni zaidi ya kijeba lakin tunaambiwa ni chini ya miaka 15 huu ni upuuzi.
Zanzibar pongezi kwa kuchukua ndoo dhidi ya Uganda ila huyu kijana aliepiga penalt ya ushindi ni kijeba sana!
Lete pikture aka foto...Haya mashindano ya chini ya miaka 15 ni ya kijinga sijui ni kwa faida ya nani?
Timu nyingi zimepeleka vijana zaidi ya miaka 18 huku vyeti vyao vikisoma miaka 14 Hadi 15.
Huyu Halaand wa unguja ni zaidi ya kijeba lakin tunaambiwa ni chini ya miaka 15 huu ni upuuzi.
Zanzibar pongezi kwa kuchukua ndoo dhidi ya Uganda ila huyu kijana aliepiga penalt ya ushindi ni kijeba sana!
Ameandika huku akiwa ana kimbizwa na Halaand mwenyewe. Subirini akamatwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameandika huku akiwa ana kimbizwa na Halaand mwenyewe. Subirini akamatwe
πππ ππ€£πAmeandika huku akiwa ana kimbizwa na Halaand mwenyewe. Subirini akamatwe
Haya mashindano ya chini ya miaka 15 ni ya kijinga sijui ni kwa faida ya nani?
Timu nyingi zimepeleka vijana zaidi ya miaka 18 huku vyeti vyao vikisoma miaka 14 Hadi 15.
Huyu Halaand wa unguja ni zaidi ya kijeba lakin tunaambiwa ni chini ya miaka 15 huu ni upuuzi.
Zanzibar pongezi kwa kuchukua ndoo dhidi ya Uganda ila huyu kijana aliepiga penalt ya ushindi ni kijeba sana!