Zanzibar: Ashikiliwa kwa kujirekodi akiwatolea Lugha ya Maudhi Wazanzibari

Zanzibar: Ashikiliwa kwa kujirekodi akiwatolea Lugha ya Maudhi Wazanzibari

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Elizabeth Ngiba (32), kwa kosa la kujirekodi video kupitia Mtandao wa Tiktok na kutoa Lugha ya Maudhi dhidi ya Wazanzibar akiwaambia kwamba licha ya kujua kujistiri lakini Tabia zao ambazo hakuzitaja hazitofautiani na wengine na kuwataka wabadilike

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi, ACP Elisante Mmari amesema kuwa Mwanamke huyo alijirekodi video hiyo Oktoba 15, 2022, majira ya saa 8:38 Mchana, na kusema kuwa Upelelezk wa shauri hilo umekamilika na mtuhumiwa atafikishwa mahakamani kesho Oktoba 18, 2022

Chanzo: EATV
 
Hao jamaa kama pombe wanakunywa sana, zinaa wanafanya zaidi tena kinyume na maumbile, na mazaga zaga yote wanafanya kwa kujificha.Sasa huyo Elizabeth kawapa ukweli sioni kama ana kesi hapo ya kujibu.
Zenji kuna majini wala tigo.

Kuna jamaa alilalamika akilala anaota mwanamke mwenye jinsia mbili analala nae.

Wanaanza kufanyana kama mke na mume.

Wakishamaliza mwanamke huyo anamgeuza jamaa na kumla tigo.
 
Wazee wakufukua tope mbingu wakiiona kutakua hakuna Moto !!
 
Hao jamaa kama pombe wanakunywa sana, zinaa wanafanya zaidi tena kinyume na maumbile, na mazaga zaga yote wanafanya kwa kujificha.Sasa huyo Elizabeth kawapa ukweli sioni kama ana kesi hapo ya kujibu.
Na wewe dada mbona hayo uliyajuwa lakini hauyasema kama alivyoyasema Elizabeth, au yeye ndio mlimchagua aseme kwa niaba ya yenu?
 
Zenji kuna majini wala tigo.
Kuna jamaa alilalamika akilala anaota mwanamke mwenye jinsia mbili analala nae.
Wanaanza kufanyana kama mke na mume.
Wakishamaliza mwanamke huyo anamgeuza jamaa na kumla tigo.
Kweli kuna mwiitaliano mmoja alimzimisha mmasai baada ya mmasai kuridhia mwenyewe kutoa tiGo.
 
Back
Top Bottom