Nadhani ungeangalia sheria inayosimamia hiyo BPRA. Kwa vile si chombo cha muungano, inawezekana kuwa ime'define mfano " For the purpose of this law, Tanzanian means....or Zanzibari means... Huwa wanasemaga hivyo wanasheria na maana yake ni Kwamba kwa 'sheria hiyo tu' Mimi mwenyewe ilikuwa inanichanganya hadi nikauliza wanasheria mfano utasikia kumiliki ardhi Zanzibar ni lazima uwe mzenji, ukiangalia tafsiri ya mzanzibari, kumbe ni mtanzania aliyeishi Zanzibar kwa kipindi kishochopungua miaka 10 na sio mfululizo au bila ya kutoka!