Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Itakuwa alisaidia vizuri kuiba kuraRais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi amemteua Dkt Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kabla ya Uteuzi Dkt. Mwinyi Talib alikuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Uteuzi huo unaanza Novemba 3
View attachment 1618777
Ajabu unakomenti kwa mambo yasiyokuhusu.Haituhusu sisi
UtanyookaAjabu unakomenti kwa mambo yasiyokuhusu. Pumbavu!
Unafata nini hapaHaituhusu sisi
Kwani ulikua unaishi kwa mashaka?Safi, tuendelee kuishi kwa amani tu.
Ulivyoeleza kama vile ni jambo la maaaana, sasa ngoja fimbo kutoka kwa wapinzani wako.Hongera sana Mwanasheria ,
kweli Hakuna aijuae Kesho yake
Siku kama ya leo Wiki Iliyopita Mbowe akiwa anamaliza kampeni zake Hai alisema amebakisha Masaa machache kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania akiashiria Polisi wasimchukulie Poa kwani Lissu atashinda Urais na kumpa yeye u Mizengo pinda,
wiki moja baadae ( leo) yupo Nyuma ya Nondo akiomba dhamana polisi kwa jaribio la kulipua vituo vya kuuzia Fuel
Angekuwa na busara asingekubali urais uliopatokana kwa hila, mateso na mauaji ya watu! Hana busara kabisa!Safi sana. Aanze kuchapa Kazi. Ninaamini ataleta Amani Zanzibar. Ana busara sana Hussein Mwinyi