Huenda naye aliwekwa tu hata hajui. Kama tusikiayo ni kweli basi jua lazima mrithi awe ni mtu mwoga ambaye hawataweza kukusulubu🤣🤣🤣🤣😩Angekuwa na busara asingekubali urais uliopatokana kwa hila, mateso na mauaji ya watu! Hana busara kabisa!
Mbona umekaa kimbea sana mamaHongera sana Mwanasheria ,
kweli Hakuna aijuae Kesho yake
Siku kama ya leo Wiki Iliyopita Mbowe akiwa anamaliza kampeni zake Hai alisema amebakisha Masaa machache kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania akiashiria Polisi wasimchukulie Poa kwani Lissu atashinda Urais na kumpa yeye u Mizengo pinda,
wiki moja baadae ( leo) yupo Nyuma ya Nondo akiomba dhamana polisi kwa jaribio la kulipua vituo vya kuuzia Fuel
Mbona umekaa kimbea sana mama
Huu ushindi wa kuua watu hizo busara mbona haukuzitumia ili wazanzibar wasiuliwe ?Safi sana. Aanze kuchapa Kazi. Ninaamini ataleta Amani Zanzibar. Ana busara sana Hussein Mwinyi
Usimlaumu huyo kavurugwa hapo alipo amesahau mbaka jinalake.Ajabu unakomenti kwa mambo yasiyokuhusu.
Mambo ya Muungano ni magumu na unajua Mainland ndiyo wanaushikilia kwa gharama yoyote Ile. Hivyo inawezekana hata hahusikiHuu ushindi wa kuua watu hizo busara mbona haukuzitumia ili wazanzibar wasiuliwe ?
Amani tayari ipo.Apeleke maendeleoSafi sana. Aanze kuchapa Kazi. Ninaamini ataleta Amani Zanzibar. Ana busara sana Hussein Mwinyi
Badala ya Uwaziri mkuu sasa kapata Uwaziri Mguu.Hongera sana Mwanasheria ,
kweli Hakuna aijuae Kesho yake
Siku kama ya leo Wiki Iliyopita Mbowe akiwa anamaliza kampeni zake Hai alisema amebakisha Masaa machache kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania akiashiria Polisi wasimchukulie Poa kwani Lissu atashinda Urais na kumpa yeye u Mizengo pinda,
wiki moja baadae ( leo) yupo Nyuma ya Nondo akiomba dhamana polisi kwa jaribio la kulipua vituo vya kuuzia Fuel