Zanzibar haijawahi kuingiza shule katika 10 bora katika matokeo kidato cha 4 kwanini?

Hata sasa,elimu ya Secondary si suala la muungano

Shukrani mkuu kwa ufafanuzi. Sijawahi kulifuatilia suala hilo kwa muda mrefu sikuwa na hakika na ukweli wa hali ya sasa. Ndiyo sababu nikarudi kwenye miaka ambayo nilikuwa ninaikumbuka kwa hakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…