Sio kama magari ya kutoka Zanzibar yanachukuliwa kama ya kigeni, yanachukuliwa kama ndio kwanza yamekuwa imported. Hata ukiomba kibali cha muda hakipatikani. Hata hivyo, gari zinazotoka Kenya na nchi za jirani yanapatiwa vibali vya kutembea barabarani bila ya matatizo yoyte yale, udumu muungano....
UDUMU BABA! Ndio maana hatutaki shirikisho la Afrika Mashariki tunaogopa na sisi tutafanyiwa haya tunayowafanyia wenzetu kwa kisingizio cha umoja.