FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,356
Eti wapigwe goli 4. Hapo Ndiyo utajuwa kwanini kwa Mungu siyo mzungu.Naona wadau wengi wanamdaganya uyo Zanzibar hero,, leo mechi ya fainali anapigwa goli 4 bila majibu toka kwa kenya.
Chezea wote lakini siyo Kenya kwenye ardhi yake ya nyumbani
2:2 matuta hii gameAmechokoza nyuki sasa atapigwa 5:1
Itakuwa powaHakuna matuta game hii kenya anakaa dk ya 124
Zanzibar's machoko tu.Hapa sasa ni Bahati. Matuta huwaga hayana mwenyewe. Mungu Ibariki Zanzibar...
Mbona unatapatapa?Nilisema Zanzibar atapigwa 4,,tayari kapigwa 2,,bado mawili mengine kwenye penalties
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] umenichekesha sana mkuuHao wakenya wenye hasira ulionao hapo Nairobi hawataingia uwanjani kucheza.
Mpira utaamuliwa na wachezaji 11 wa timu hizi mbili ndani ya dakika 90.
Hizi nyingine ni porojo tu!
Umekuwa Sheikh Yahaya?Amechokoza nyuki sasa atapigwa 5:1
Kwangu mlango upo waziDaah wangeshinda ningeachika
Leo
Hahahaha.Bera zipo tofauti
Tanganyika hatuna bera yetu wao wanayo ya zanzibar