yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
Mambo si mambo huku wameshikwa wazanzibar watatu na makomando wa Serengeti boys wakinyunyizia au kupulizia vimiminika kwenye vyumba vya Serengeti boys
Walipodakwa wakaanza kuongea lafudhi ya kisukuma ili wasionekane km watu wa vusiwani
Alihoji mdau mmoja kwanini aongee lafudhi ya kisukuma wakati wanasijida usoni na wanaongea lafudhi imenyooka?
Walipobanwa zaidi walitaka kukimbia ila bado walikamatwa Mara moja
Viongozi wa Serengeti boys wanawalazimisha waende wakanyunyize pia Hiyo dawa kwa wachezaji wa Zanzibar
Joto linazidi kupanda vurugu hii inaweza kuhatarisha hata uwepo muungano maana Hawa wazanzibar wanaropoka sana wasipopewa kichapo sijui
Walipodakwa wakaanza kuongea lafudhi ya kisukuma ili wasionekane km watu wa vusiwani
Alihoji mdau mmoja kwanini aongee lafudhi ya kisukuma wakati wanasijida usoni na wanaongea lafudhi imenyooka?
Walipobanwa zaidi walitaka kukimbia ila bado walikamatwa Mara moja
Viongozi wa Serengeti boys wanawalazimisha waende wakanyunyize pia Hiyo dawa kwa wachezaji wa Zanzibar
Joto linazidi kupanda vurugu hii inaweza kuhatarisha hata uwepo muungano maana Hawa wazanzibar wanaropoka sana wasipopewa kichapo sijui