Mkuu nakuunga mkono nimewangalia zanzibar wako vizuri sana ,Tz bara sijui tuna shida gani!Aisee !! Mbona zanzibar kuna vipaji vingi sna vya mpira wa miguu kwanini wasitupie macho zaid na kuwapa support ili tufkie mbali kimichezo
Tusiwaone ni wala urojo tu jamani kiukwel ukienda zanzibar na kutembelea viwanja vya mpira wa miguu utaelewa kwamba kuna special talents lakin zinaishia kufia maskan tu kwa kukosa support
Niwahi kukaa zanzibar kwa kipind flani yaan unakuta watoto wana vipaji hatar hadi unashangaa kmaa huyu hakuna ma agent ambao wanaweza kumpeleka katk football academy zenye hadhi ya kitaifa au kimataifa yaan watoto wanacheza soccer safi lile lakiakil kabisa lakufunzwa, full ball controlMkuu nakuunga mkono nimewangalia zanzibar wako vizuri sana ,Tz bara sijui tuna shida gani!
Kama si hili dude linaloitwa Muungano, hawajamaa wangekuwa mbali sana kimaendeleo.
Hongera sana Zanzibar, lau kama mkipata uanachama wa CAF kwa mara nyingine na FIFA yamkini Zanzibar heroes watakwenda World Cup na Afcon kabla ya Tanzania Bara.
Aisee !! Mbona zanzibar kuna vipaji vingi sna vya mpira wa miguu kwanini wasitupie macho zaid na kuwapa support ili tufkie mbali kimichezo
Tusiwaone ni wala urojo tu jamani kiukwel ukienda zanzibar na kutembelea viwanja vya mpira wa miguu utaelewa kwamba kuna special talents lakin zinaishia kufia maskan tu kwa kukosa support
Upo sahihi kamanda...tumewatenga sana hawa ndugu zetu.Kama si hili dude linaloitwa Muungano, hawajamaa wangekuwa mbali sana kimaendeleo.
Nime kubaliana na ww mkuu tanganyika zao no fitina tu na chuki litopenda kuona wengine wakiendeleaHongera sana ZNZ nawatakia ushindi mnono na mwisho mubebe cup. But Wakina sisi sio watu wa mpira,,,twendelee na politics
Nime kubaliana na ww mkuu tanganyika zao no fitina tu na chuki litopenda kuona wengine wakiendelea
Kama sio fitna za muungano wazanzibari wangekuwa kwengine kwa kila kitu na ndio maana kila upande unapowakuta wako vyema na tatizo lao linakuwa ni siasa za tz na viongozi wao sio issues za kiufundi na uwezo, kuna siku nafkir tz itafika kuona haya kwa inayoifanyia hawa jamaa