Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kufuatia mtanange wa leo kulazimisha sare hiyo tasa na Kenya, Zanzibar imefikisha pointi 7 huku wenyeji Kenya wakiwa na pointi 5.
Hongera sana Zanzibar, lau kama mkipata uanachama wa CAF kwa mara nyingine na FIFA yamkini Zanzibar heroes watakwenda World Cup na Afcon kabla ya Tanzania Bara.