Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Aio good move, maana agakhan wametoka kusitisha huduma za nhif watu wameshikana mashati, mwisho wa siku Muhimbili wakasema wao wataziba gap la huduma kwa hao waliokua wanaenda aghkhanNdo hivyo , hili ni kosa ka karne , kwa nini jeshi pamoja na kuwepo hospital za umma ila bado yupo na hospital zake, hii ipo na maana sana kinchi
Unakabidhi hosp za umma kwa mtu binafsi ,siku moja anaamuka hasubui anafunga huduma unafanyaje ,au anakuja na masharti magum ya kuumiza wananchi ,
Alietoa wazo hilo zanzibar hana hakili