Zanzibar imefika huku! Kunani?

Zanzibar imefika huku! Kunani?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Chama cha soka Zanzibar kimemteua Rahma Abdalla Munir kuwa mchuwa Mapaja wa timu ya wanaume yaani Zanzibar heros

Taarifa iliotolewa imesisitiza na Chama hicho kwamba Rahma Abdalla Munir atakuwa ndio mchuwa mapaja wachezaji wa kiume, hii ni haki?

Hakuna madokta wanaume?

Hii inafundisha nini?

Hata Tanzania Bara penye waumini wa dini ni mchanganyiko hii haijawahi kutokea hivi.
Yaani PBZ licha ya kuwa masheikh wakubwa ndani yake wanasupport hii?

"Wala Mayahudi hawataridhika nawe wala Manasara mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika mwongozo wa Allah ndio mwongozo. Na ukifuata matamanio yao baada ya yale uliyofunuliwa huna mlinzi wala msaidizi mbele ya Allah."
 
Waache wafu wazikane wenyewe...
IMG_20241215_152544.jpg
 
Chama cha soka Zanzibar kimemteua Rahma Abdalla Munir kuwa mchuwa Mapaja wa timu ya wanaume yaani Zanzibar heros, , Taarifa iliotolewa imesisitiza na Chama hicho kwamba Rahma Abdalla munir atakuwa ndio mchuwa mapaja wachezaji wa kiume, hii ni haki? Hakuna madokta wanaume?
Hii inafundisha nini?
Hata Tanzania Bara penye waumini wa dini ni mchanganyiko hii haijawahi kutokea hivi.
Yaani PBZ licha ya kuwa masheikh wakubwa ndani yake wanasupport hii?

"Wala Mayahudi hawataridhika nawe wala Manasara mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika mwongozo wa Allah ndio mwongozo. Na ukifuata matamanio yao baada ya yale uliyofunuliwa huna mlinzi wala msaidizi mbele ya Allah."
Tuwaache WAPUMUWE😀😀
 
Chama cha soka Zanzibar kimemteua Rahma Abdalla Munir kuwa mchuwa Mapaja wa timu ya wanaume yaani Zanzibar heros, , Taarifa iliotolewa imesisitiza na Chama hicho kwamba Rahma Abdalla munir atakuwa ndio mchuwa mapaja wachezaji wa kiume, hii ni haki? Hakuna madokta wanaume?
Hii inafundisha nini?
Hata Tanzania Bara penye waumini wa dini ni mchanganyiko hii haijawahi kutokea hivi.
Yaani PBZ licha ya kuwa masheikh wakubwa ndani yake wanasupport hii?

"Wala Mayahudi hawataridhika nawe wala Manasara mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika mwongozo wa Allah ndio mwongozo. Na ukifuata matamanio yao baada ya yale uliyofunuliwa huna mlinzi wala msaidizi mbele ya Allah."
Hii ni aibu na wala sio jambo la kulfurahia.
 
Chama cha soka Zanzibar kimemteua Rahma Abdalla Munir kuwa mchuwa Mapaja wa timu ya wanaume yaani Zanzibar heros, , Taarifa iliotolewa imesisitiza na Chama hicho kwamba Rahma Abdalla munir atakuwa ndio mchuwa mapaja wachezaji wa kiume, hii ni haki? Hakuna madokta wanaume?
Hii inafundisha nini?
Hata Tanzania Bara penye waumini wa dini ni mchanganyiko hii haijawahi kutokea hivi.
Yaani PBZ licha ya kuwa masheikh wakubwa ndani yake wanasupport hii?

"Wala Mayahudi hawataridhika nawe wala Manasara mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika mwongozo wa Allah ndio mwongozo. Na ukifuata matamanio yao baada ya yale uliyofunuliwa huna mlinzi wala msaidizi mbele ya Allah."
Sheikh acha nongwa. Wachezaji wetu wa timu ya Taifa lazima wasuguliwe mapaja na Bi. Rahma Abdallah Bin Munir. Maana yeye ndiye mtaalamu pekee ndani ya Zanzibar. Kama hutaki, hamia Tel Aviv ukaishi na akina Netanyahu.
 
Chama cha soka Zanzibar kimemteua Rahma Abdalla Munir kuwa mchuwa Mapaja wa timu ya wanaume yaani Zanzibar heros

Taarifa iliotolewa imesisitiza na Chama hicho kwamba Rahma Abdalla Munir atakuwa ndio mchuwa mapaja wachezaji wa kiume, hii ni haki?

Hakuna madokta wanaume?

Hii inafundisha nini?

Hata Tanzania Bara penye waumini wa dini ni mchanganyiko hii haijawahi kutokea hivi.
Yaani PBZ licha ya kuwa masheikh wakubwa ndani yake wanasupport hii?

"Wala Mayahudi hawataridhika nawe wala Manasara mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika mwongozo wa Allah ndio mwongozo. Na ukifuata matamanio yao baada ya yale uliyofunuliwa huna mlinzi wala msaidizi mbele ya Allah."
Acha ujinga unaona wivu wanaume wenzako kuchuliwa mapaja?
mbona ukienda hospital nesi wa kike akikuambia akuchome sindano unaachia Tako wazi?
 
Kwani shida iko wapi we mleta uzi ? Hii ni kazi ya kitaalamu na huyo Bi Rahma ni professional kwanini asifanye hiyo kazi ?

Watanzania tuna akili na mawazo ya ajabu sana, kwani mbona ukienda Hospital unahudumiwa na Doctor au Nesi Mwanamke ? Punguzeni ushamba na uzuzu wa kiboya.
 
Back
Top Bottom