rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Wakati wa mchakato wa rasimu iliibuka hoja ya serikali tatu, Dr. Shein akiwa rais wa Zanzibar wakati huo alikuwa miongoni mwa watu walipinga Kwa madai mapato ya Zanzibar ni kidogo hivyo isingemudu gharama za uendeshaji serikali ya muungano.
Leo taarifa ya habari imetangaza hatua ya serikali ya Zanzibar kutoa ruzuku kwenye mafuta na kupeleka mafuta na diesel kuuzwa chini ya shilingi 3000.
Ni jambo la kupongeza lakini linaacha maswali kwanini Zanzibar wanadai hawana pesa ya kugharamikia serikali ya muungano ila Wana pesa ya kutoa ruzuku kwenye mafuta, pia kwanini bara imeshindikana au Kwa sababu tunabeba gharama za muungano.
Leo taarifa ya habari imetangaza hatua ya serikali ya Zanzibar kutoa ruzuku kwenye mafuta na kupeleka mafuta na diesel kuuzwa chini ya shilingi 3000.
Ni jambo la kupongeza lakini linaacha maswali kwanini Zanzibar wanadai hawana pesa ya kugharamikia serikali ya muungano ila Wana pesa ya kutoa ruzuku kwenye mafuta, pia kwanini bara imeshindikana au Kwa sababu tunabeba gharama za muungano.