Zanzibar imewahi kutawaliwa na mwanamke karne ya 17

Zanzibar imewahi kutawaliwa na mwanamke karne ya 17

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mnamo mwaka 1696 hadi 1698 utawala wa Unguja unatajwa kuwa uligawanyika ambapo aliyekuwa mtawala wa Zanzibar Kaskazini alikuwa ni Malkia Fatuma binti Yusuf al-Alawi.

Fatuma alikuwa mtoto wa mfalme wa Unguja, Yusuf. Utawala wa Fatuma ulikuwa katika kipindi ambacho wareno walikuwa wanataka kuiteka Afrika Mashariki naye alikuwa upande wa wareno.
 
Anhaa, kumbe Zanzibar ilikuwa na watu kabla ya mwarabu Seyyid Said kuja ???
 
Mnamo mwaka 1696 hadi 1698 utawala wa Unguja unatajwa kuwa uligawanyika ambapo aliyekuwa mtawala wa Zanzibar Kaskazini alikuwa ni Malkia Fatuma binti Yusuf al-Alawi.

Fatuma alikuwa mtoto wa mfalme wa Unguja, Yusuf. Utawala wa Fatuma ulikuwa katika kipindi ambacho wareno walikuwa wanataka kuiteka Afrika Mashariki naye alikuwa upande wa wareno.
Zanzibar, Pemba and Mafia were trading outposts since Roman times. Please, refer to the ancient city of Raphta in the ancient country of Azania believed to be the Mafia of today.
 
Back
Top Bottom