Usalama wa Taifa tangu mwanzo, walishataka kabisa uchaguzi mdogo ufanyike. Makamu wa Rais alikuwa ni incompetent kuwa Rais. Kila linalofanywa kwa sasa linafanywa kwa mihemko. Mama hana Dira, na kuna watu nyuma yake ndio wanatoa Instruction. Hii ni hatari sana kwa Ustawi wa Taifa letu. Tunaona Uongozi wa awamu ya nne umeshaanza kupigia debe suala la uenyekiti. Lakini Watanzania tutambue nchi inarudi vyuma tena. Tunaona Chanjo za COVID zitaingizwa soon. Ndjo tujue hapa kunapandikizi na ni suala la muda tu.Chunguza maamuzi ya huyu mama, mengi ni kwa kusikiliza watu na mengine ni kuonesha utawala wa nyuma ulikuwa mbovu. Miaka 4 itaisha na hakuna la maana zaidi ya kutusikilizisha vijembe na kuonesha mtangulizi wake alikuwa hafai. Tutachelewa sana