Zanzibar International Airport (ZIA): One of the world's worst airports


Dar Nao hivyo hivyo pesa ya visa ni $50 =£50 = euro 50 yaani wanaona kila mtu mjinga halafu wanakuchelewesha
 
Naomba kuuliza wandugu, hivi kama ni lazima umlipie visa mtoto ambaye amezaliwa nje ya Tanzania lakini wazazi wake wote wawili ni watanzania?
 
Ndio maana nikawambia muungano hautusaidii kitu. Wengi wenu munao andika hapa kuhusu zanzibar, hata hamujafika huko. Lakini kama mungelikuwa unaijua hali halisi ya mambo musingelikua munashikilia muungano. Hizi ni katika moja za ATHARI za MUUNGANO. TRA wanachukua kodi zanzibar na pesa zooote zinpelekwa BOT. Ikija bajeti ya zanzibar, tunaruzukiwa kama watoto wa ndege tunduni. Kwa hivo ni afadhali tujue muungno haupo tukajua cha kufanya na rasilimali yetu. Sisi tunaweza kujitegemea sana tu wala hatuna haja ya msaada wa bara. Ukiangalia historia fupi ya muungano, mali ya zanzibar nyingi tu imeporwa na wakoloni wa GAr. Kwa hivo, tunachotaka ni UHURU kamili kama mulivo nyinyi na UHURU wenu. Sisi bado mumetukoloni. Hilo lazima mufahamu.
 


hivi rasilimali mlizonazo zinazidi zile zilizoko mkoa wa Arusha, unataka kuniambia mkoa wa Mwanza haujawahi kucontribute kwenye bajeti ya Zanzibar? vp mkoa wa Dar es Salaam, makusanyo ya kodi iya mwaka yanaweza kuwa ni chini ya nusu na yale yanayokusanywa Unguja na Pemba kwa pamoja. Kwa hali hii na ingekuwa vyema mkapewa uhuru wenu.
 
Naomba kuuliza wandugu, hivi kama ni lazima umlipie visa mtoto ambaye amezaliwa nje ya Tanzania lakini wazazi wake wote wawili ni watanzania?

Kuepuka zogo, mchukulie pasi yake! Sidhani hiyo itakuwa tatizo kama wazazi wake wote ni watanzania. Lakini kama ameishajikulia pasi ya nchi nyingine basi atahitaji kuwa na visa kama mgeni mwingine. Sina yhakika lakini nadhani mtoto aliye chini ya miaka 18 anaruhusiwa kuwa na pasi mbili. Akifikisha miaka 18 ndipo atabidi achague ipi ya kubaki nayo.
 


passport anayo ya huko alikozaliwa.

Kwa hiyo anaweza akapata passport ya Tz ambayo itakuwa inamuwezesha kuingia Tz bila kulipa visa fee.

On top, nadhani kucharge visa fee pale airport si sahihi kwa vile wazazi wake wote ni watanzania, na pia ana potential kubwa ya kuwa mtanzania hapo baadaye.
 

Mama, angekubali ( au wazazi wake wangetaka) awe mtanzania basi yote haya yasingempata. Visa ni kwa ajili ya wageni wote, hata wale ambao awali walikuwa watanzania na sasa ni raia wa nchi nyingine. Visa zinauzwa airport ili kupunguza usumbufu kwa wageni wanaokaa mbali na kuliko ofisi za ubalozi wetu. Ni usumbufu kumlazimisha mtu aliye pwani ya magharibi ya Marekani kumlazimisha aende New York au Washington kufuata viza.

Kwa bahati mbaya hayo ya baadae hakuna anayeweza kutabiri. Anaweza akaamua kuchangia zaidi huko alikozaliwa. Lakini kama atataka kuwa mtanzania hapo baadae hamna atakae mkataza. Atakapofanya hivyo basi suala la visa na residency permit na work permit katika nchi walikotoka wazazi wake itakuwa historia. Au pengine tutakuwa tumekomaa na kukubali uraia wa nchi mbili!
 


Khee! Mama we. kwani watu walioko Zanzibar wanawazidi walke walioko Arusha>
 


Khee! Mama we. kwani watu walioko Zanzibar wanawazidi walke walioko Arusha>


kama hamzidi walioko Arusha, kelele za nini kwamba mapato yenu hamfaidi kwa vile yanaletwa BOT na mnapata mgao kiduchu? Na hao waArusha wakilalamike mapato yao yanakuja Zanzibar ambapo kuna watu na mapato kidogo kuliko yao.
 
kama hamzidi walioko Arusha, kelele za nini kwamba mapato yenu hamfaidi kwa vile yanaletwa BOT na mnapata mgao kiduchu? Na hao waArusha wakilalamike mapato yao yanakuja Zanzibar ambapo kuna watu na mapato kidogo kuliko yao.

,,,,Mama wanasiasa wesha tuharibia wananchi woote zenji huku,manake hawawaambii ukweli kwamba kazi ya BoT na TRA ni nini??,hawawaelezi ukweli kwamba hata hizo pesa zao kiduchu zinazokusanywa zinaishia hapohapo kwenye ma strong room ya BoT pale KINAZINI na baadae kutumiwa na SMZ kwa ajili ya matumizi yake,Wanasiasa wanawadanganya hawa akina FALCONER kwamba pesa zile zinapelekwa DAR kwa ajili ya matumizi ya TZ bara,wakati si KWELI.
 

Kumbe wewe umestukia kuwa ni wanasiasa ndio wanawapotosha wananchi wa zenj kuwa wanakandamizwa na wabara.

Walau sasa wachache wameshastukia game.....
 
Zanzibar kila kitu mnalalamika, lini mtajua kuwa nyinyi sio nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya MUungano wa Tanzania. Kama hamkuchangia serikali ya muungano itaendeshwa namna gani?

Mimi nafikiri swala la msingi hapa ni kuwa na serikali moja kwani wataendelea kulalamika kila siku kwani wamepewa uhuru wa kulalamika kama wanabaki na serikali yao iliyo na madaraka ya ndani.

Wakati wanaamua kufanya swala la kodi kuwa la muungano ina maana waliangalia zanzibar itapata wapi pesa ya kujiendesha, kama hawakuwa creative enough kuendeleza hivyo vyanzo then TRA hawana lawana kwani siamini kuwa sheria ilipitishwa bila kuangalia pande zote zitahathirika vipi.

Wote pamoja bara na visiwani hatutakiwi kulalamika bila kuchukua hatua za msingi, kuna njia za amani za kulalamikia hili hasa wanasiasa wa CCM na CUF kama mnaona mnaonewa then use the available means kulalamikia ili. kuna mahakama zenye majaji wazalendo ambao wanajali umuhimu wa amani ya watanzania.
 
I decided to unearth this thread from 2007 because the situation is appalling at this so called "international" airport.
1. Arrival lounge - an open area exposed to the rain, wind, heat, noise etc
2. Baggage retrieval - one can see the 2 old tractors struggling to haul the bags to the area where the scruffy porters pick them up and throw them onto (no, not the conveyor belt!!) the 2 rickety tables and then all passengers go into some sort of survival for the fittest scramble for the bags
3. The bureau de change is a disgrace, the lady there has no idea of customer relations, it is badly placed
I could go on and on, the list is endless. It's been 2 years since this thread was started but things are still the same, if not worse. The only good thing about this airstrip is the organized manner in which the taxi drivers pick up passengers.

Zanzibaris, wake up!! Where does all the revenue from tourism go? And please don't give me that "Tanzania bara wachukua kila kitu" excuse

Tujadiliane zaidi
 
hakuna cha kujadili watanzania waliotufikisha hapa bado wako madarakani labda wafe kwanza, lakini mbaya zaidi wanarithisha watoto wao ambao nao ni vichwa maji tu, sikutegemea waziri kama masha, ngeleja wawe hovyo namna hii.
 
First time I went to Zenj I couldn't believe if that I saw was a "national reception" for SMZ after all years of Mapinduzi.








Hapa ndo haswa pahala penyewe panapoitwa " ZANZIBARINTERNATIONAL AIRPORT" OR KISAUNI AIRPORT (THE ONLY BIG AIRPORT FOR BOTH PEMBA & UNGUJA
 

Attachments

  • Plane_in_zanzibar.jpg
    25.5 KB · Views: 261
Zanzibar nilikwenda zamani kidogo, sifahamu lakini wakati ule kilikuwa bado kiwanja kidogo sana na hakukuwa na facilities nyingi.
 
wanasubiri muungano uvunjike waende uarabuni kuomba maana ukiangalia shabaha kubwa ya wanaotaka muungano uvunjike ni wale wanaosubiri desperately uvunjike waende uarabuni kuomba misaada kwa kigezo wao ni waislam sana!
sekta ya utalii peke yake ingetosha kuendesha uchumi wa zanzibar kama wangekua serious na hio haiitaji mpaka muungano uvunjike!
 
They seriously want to be made a second-class sultanate/ emirate?
 

Ndio tunasubiri muungano uvunjike, maana hayo yote unayoyataja hapo juu yanahitaji uongozi bora.

Kwa bahati mbaya hapo kwenye uongozi maamuzi ya wazanzibari hayaheshimiwi na nguvu za dola hutumika ikiwemo usalama wa taifa, jwtz n.k kubadili maamuzi ya uongozi wa wazanzibari.

Sasa ikiwa tokea asubuhi tokea ndani ya NEC maamuzi ya wazanzibari yanaanzwa kupindishwa, na mwishowe hata kwenye uchaguzi mkuu wa tume hutekwa dakika za majerushi na kina Nyerere kuenda Zanzibar kwa helikopta kubadili maamuzi....Hivi wewe unahisi bila ya muungano kuvunjika kunafanyika kitu Zanzibar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…