Zanzibar Kama Dubai, Hazina Sovereignty, - No Capacity to International Treaty, Kama Tumeingia Mkataba na Dubai, Kwanini Zanzibar Izuiwe Kujinga OIC?!

Zanzibar Kama Dubai, Hazina Sovereignty, - No Capacity to International Treaty, Kama Tumeingia Mkataba na Dubai, Kwanini Zanzibar Izuiwe Kujinga OIC?!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.

Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.

Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional Law, Watanzania ni wa hurumiwa tuu, Mungu Saidia, sio serikali, sio Bunge wala Mahakama zetu zinafuata dhima ya mtunga katiba, ndio maana serikali yetu inatunga miswada batili ya sheria inayokwenda kinyume na katiba, Bunge linatunga sheria batili, Mahakama Kuu inabatilisha, sheria hizo batili, Mahakama ya Rufaa inakubalia na Mahakama Kuu kuhusu ubatili, kisha inajifunga mikono kwa kunawa mikono kujiosha kama Pilato alipomhukumu Mwana wa Adamu, kifo msalabani na inazirudisha Bungeni, Bunge lile lile lililotunga batili, at ndio limebembelezwa kuuondoa huo ubatili, matokeo yake ubatili huo upo mpaka leo ndani ya katiba yetu na ndani ya sheria yetu ya uchaguzi na hadi hii sheria mpya ya uchaguzi ni batili!.

Kwa upande wa International law, kuna miungano ya aina kuu 3
1. Muungano wa Total Union
2. Muungano wa Federation
3. Muungano wa Confederation

Aina ya muungano wetu wa URT ni muungano unique wa mseto wa Total Union kwa upande mmoja nchi mbili za (Tanganyika na Zanzibar ) zimeungana kuunda taifa moja URT. Nchi zote mbili zimekufa.

Kwa upande wa pili ni muungano wa Federation ya Tanzania na (Zanzibar).
kuunda taifa la federal lenye independent states ndani yake kama ilivyo USA, USSR、Yogoslavia etc

Kiukweli kabisa Muungano wetu kimataifa ni muungano wa unitary, hauna utata wowote, muungano wetu ni Muungano wa Union ya nchi mbili zimeungana, zote zikapoteza sovereignty zake kwa kuzikabidhi kwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kimataifa,Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika, na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania yenye utawala wake wa ndani.

Kizungumkuti cha muungano wetu ni Tanzania ndani ya Muungano, Muungano wetu ni wa federation yenye washirika wawili, katiba mbili, Marais wawili, mabunge mawili, mshirika mmoja ndie nchi mwenye sovereignty na mshirika wa pili sio nchi, hana sovereignty, ila kwenye katiba yake anajiita ni nchi, katiba ya mshirika mwingine haiitambui katiba ya mshirika mwenzake!, mambo ni shaghalabaghala!.

Mshirika ambaye sio nchi, akajiunga na OIC, hivyo kuonekana kama ni Tanzania ndio imejiunga na OIC, Bunge la mshirika mmoja likakasirika na kumlazimisha mshirika huyo ajitoe OIC, kwa ahadi ya Tanzania itajiunga, kumbe ni danganya toto!.

Sasa baadhi ya Wanzanzibari wanatamani kujiunga na OIC.

Kwa vile Zanzibar sio nchi, haina sovereignty, has no capacity to contract an international treaty, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwa niaba ya Zanzibar, na ikitokea Zanzibar ikashindwa kulipa deni, anayelipa ni JMT. Hili la mkataba kama wa DP World nimelizungumza humu

Hebu msikie Mzanzibari hiyu akililia OIC
Kwa vile the status of Zanzibar ndani ya Muungano ni sawa sawa kabisa na the status of Dubai ndani ya UAE, Dubai imepewa special status, inaweza kuingia mikataba ya kimataifa ya kibiashara.

Sasa kama Tanzania ambayo ni nchi, ikaingia mkataba wa kimataifa na Dubai ambayo sii nchi, ukaletwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge letu, then kwanini Zanzibar inazuiwa kuingia mikataba ya kimataifa wakati mwenzake Dubai anaingia?.

Kama kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar inajiita ni nchi lakini sio nchi!, ila kama kweli Zanzibar ni nchi, haihitaji ruhusa ya mtu yeyote kujinga OIC, wala haihitaji udhamini wa mtu yeyote kuingia mikataba ya kimataifa!.

Ndio maana wakati wa mjadala wa DP World na Bandari zetu, nilisema mkataba ule umetusaidia sana kuujua ukilaza wa wanasheria wetu na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, kuridhia mkataba wa an entity which has no the capacity to contract, nikawashauri Zanzibar to take that advantage kuikata minyororo inayowazuia kuifanya Zanzibar iwe a free port.

Kama kwa Dubai Tumeweza, Why not Zanzibar?.

Paskali
 
Naona sasa umeanza kuelewa, naona umeanza kujitenga na uccm na kuanza kusema ukweli.

Ulichokieleza ni kweli tupu hata wao wanaelewa ila kwa maslahi yao hawatasema.

Ukiwauliza huwa hawana jibu, utadhani misukule.

Kaka ukweli utakuweka huru daima.
 
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.

Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.

Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional Law, Watanzania ni wa hurumiwa tuu, Mungu Saidia, sio serikali, sio Bunge wala Mahakama zetu zinafuata dhima ya mtunga katiba, ndio maana serikali yetu inatunga miswada batili ya sheria inayokwenda kinyume na katiba, Bunge linatunga sheria batili, Mahakama Kuu inabatilisha, sheria hizo batili, Mahakama ya Rufaa inakubalia na Mahakama Kuu kuhusu ubatili, kisha inajifunga mikono kwa kunawa mikono kujiosha kama Pilato alipomhukumu Mwana wa Adamu, kifo msalabani na inazirudisha Bungeni, Bunge lile lile lililotunga batili, at ndio limebembelezwa kuuondoa huo ubatili, matokeo yake ubatili huo upo mpaka leo ndani ya katiba yetu na ndani ya sheria yetu ya uchaguzi na hadi hii sheria mpya ya uchaguzi ni batili!.

Kwa upande wa International law, kuna miongano miwili mikuu, Muungano wa Union, na Muungano wa federation.

kiukweli kabisa Muungano wetu kimataifa hauna utata wowote, muungano wetu ni Muungano wa Union ya nchi mbili zimeungana, zote zikapoteza sovereignty zake na kuzikabidhi nchi moja ya JMT.

Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika, na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzayenye utawala wake wa ndani.

Kizungumkuti ni ndani ya Muungano, Muungano wetu ni wa federation yenye washirika wawili, katiba mbili, marais wawili, mabunge mawili, mshirika mmoja ndie nchi mwenye sovereignty na mshirika wa pili sio nchi, hana sovereignty, ila kwenye katiba yake anajiita ni nchi, katiba ya mshirika mwingine haiotambui katiba ya mshirika mwenzake!, mambo ni shaghalabaghala!.

Mshirika ambaye sio nchi, akajiunga na OIC, hivyo kuonekana kama ni Tanzania ndio imejiunga na OIC, Bunge la mshirika mmoja likakasirika na kumlazimisha mshirika mwingine ajitoe OIC, halafu Tanzania itajiunga, kumbe ni danganya toto!.

Sasa baadhi ya Wanzanzibari wanatamani kujiunga na OIC.

Kwa vile Zanzibar sio nchi, haina sovereignty, has no capacity to contract an international treaty, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwa niaba ya Zanzibar, na ikitokea Zanzibar ikashindwa kulipa deni, anayelipa ni JMT.

Hebu msikie Mzanzibari hiyu akililia OIC

Kwa vile the status of Zanzibar ndani ya Muungano ni sawa sawa kabisa na the status of Dubai ndani ya UAE, Dubai imepewa special status, inaweza kuingia mikataba ya kimataifa ya kibiashara.

Sasa kama Tanzania ambayo ni nchi, ikaingia mkataba wa kimataifa na Dubai ambayo sii nchi, ukaletwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge letu, then kwanini Zanzibar inazuiwa kuingia mikataba ya kimataifa wakati mwenzake Dubai anaingia?.

Kama kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar inajiita ni nchi lakini sio nchi!, ila kama kweli Zanzibar ni nchi, haihitaji ruhusa ya mtu yeyote kujinga OIC, wala haihitaji udhamini wa mtu yeyote kuingia mikataba ya kimataifa!.

Ndio maana wakati wa mjadala wa DP World na Bandari zetu, nilisema mkataba ule umetusaidia sana kuujua ukilaza wa wanasheria wetu na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, kuridhia mkataba wa an entity which has no the capacity to contract, nikawashauri Zanzibar to take that advantage kuikata minyororo inayowazuia kuifanya Zanzibar iwe a free port.

Kama kwa Dubai Tumeweza, Why not Zanzibar?.

Paskali
Familia bado inakuhitaji
 
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.

Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.

Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional Law, Watanzania ni wa hurumiwa tuu, Mungu Saidia, sio serikali, sio Bunge wala Mahakama zetu zinafuata dhima ya mtunga katiba, ndio maana serikali yetu inatunga miswada batili ya sheria inayokwenda kinyume na katiba, Bunge linatunga sheria batili, Mahakama Kuu inabatilisha, sheria hizo batili, Mahakama ya Rufaa inakubalia na Mahakama Kuu kuhusu ubatili, kisha inajifunga mikono kwa kunawa mikono kujiosha kama Pilato alipomhukumu Mwana wa Adamu, kifo msalabani na inazirudisha Bungeni, Bunge lile lile lililotunga batili, at ndio limebembelezwa kuuondoa huo ubatili, matokeo yake ubatili huo upo mpaka leo ndani ya katiba yetu na ndani ya sheria yetu ya uchaguzi na hadi hii sheria mpya ya uchaguzi ni batili!.

Kwa upande wa International law, kuna miongano miwili mikuu, Muungano wa Union, na Muungano wa federation.

kiukweli kabisa Muungano wetu kimataifa hauna utata wowote, muungano wetu ni Muungano wa Union ya nchi mbili zimeungana, zote zikapoteza sovereignty zake na kuzikabidhi nchi moja ya JMT.

Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika, na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzayenye utawala wake wa ndani.

Kizungumkuti ni ndani ya Muungano, Muungano wetu ni wa federation yenye washirika wawili, katiba mbili, marais wawili, mabunge mawili, mshirika mmoja ndie nchi mwenye sovereignty na mshirika wa pili sio nchi, hana sovereignty, ila kwenye katiba yake anajiita ni nchi, katiba ya mshirika mwingine haiotambui katiba ya mshirika mwenzake!, mambo ni shaghalabaghala!.

Mshirika ambaye sio nchi, akajiunga na OIC, hivyo kuonekana kama ni Tanzania ndio imejiunga na OIC, Bunge la mshirika mmoja likakasirika na kumlazimisha mshirika mwingine ajitoe OIC, halafu Tanzania itajiunga, kumbe ni danganya toto!.

Sasa baadhi ya Wanzanzibari wanatamani kujiunga na OIC.

Kwa vile Zanzibar sio nchi, haina sovereignty, has no capacity to contract an international treaty, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwa niaba ya Zanzibar, na ikitokea Zanzibar ikashindwa kulipa deni, anayelipa ni JMT.

Hebu msikie Mzanzibari hiyu akililia OIC

Kwa vile the status of Zanzibar ndani ya Muungano ni sawa sawa kabisa na the status of Dubai ndani ya UAE, Dubai imepewa special status, inaweza kuingia mikataba ya kimataifa ya kibiashara.

Sasa kama Tanzania ambayo ni nchi, ikaingia mkataba wa kimataifa na Dubai ambayo sii nchi, ukaletwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge letu, then kwanini Zanzibar inazuiwa kuingia mikataba ya kimataifa wakati mwenzake Dubai anaingia?.

Kama kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar inajiita ni nchi lakini sio nchi!, ila kama kweli Zanzibar ni nchi, haihitaji ruhusa ya mtu yeyote kujinga OIC, wala haihitaji udhamini wa mtu yeyote kuingia mikataba ya kimataifa!.

Ndio maana wakati wa mjadala wa DP World na Bandari zetu, nilisema mkataba ule umetusaidia sana kuujua ukilaza wa wanasheria wetu na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, kuridhia mkataba wa an entity which has no the capacity to contract, nikawashauri Zanzibar to take that advantage kuikata minyororo inayowazuia kuifanya Zanzibar iwe a free port.

Kama kwa Dubai Tumeweza, Why not Zanzibar?.

Paskali
Rekebisha hapo kwanza eti Zanzibar kama Dubai, serious? Ukwasi uliopo Dubai utalinganisha na hiyo biashara ya Urojo?
 
Napingana na wewe kwenye suala la Muungano .
Muungano wetu haueleweki hauwezi kuuita ni federist au unitary.
Wewe umeandika kwamba Muungano wetu ni Unitary kwamba nchi mbili Tanganyika na Zanzibar zimeungana na kuunda Nchi moja inayoitwa Tanzania.
Napingana na wewe hapo kwani kihalisia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umezaa Nchi/serikali mbili moja inayoitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nyingine Nchi /serikali ya Zanzibar.
Ambazo kiutawala zinatambulika kama Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Zanzibar.
Kwenye huu Muungano kilichojitokeza ni Nchi ya Tanganyia na Serikali yake kufutika ilhali Nchi ya Zanzibar na Serikali yake haijafutika .
Pia Muungano huu unajumuisha masuala mahsusi machache tu ya kimuungano ambayo Nchi ya Zanzibar imeyakabidhi kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku ikibaki na masuala mengine wenyewe wanayaita masuala ya ndani
https://www.google.com/url?sa=t&sou...YQFnoECAYQAQ&usg=AOvVaw0UdWRhYh7CjT3ROg6Ybzsm

Wakati huohuo masuala yote yanayohusu utawala wa Tanganyika yamebebwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tofauti kabisa na Zanzibar.
Hivyo basi kwa uelewa wangu si sahihi kuita kwamba Muungano wetu ni Unitary form of Government.
Huu Muungano ni wa ajabu dunia nzima na haueleweki (kwa mujibu wa sheria za kimataifa) ndio maana malalamiko hayatakwisha.
Nyerere sijui alifikiria nini kuiingiza Tanganyika kwenye aina hii ya ajabu ya Muungano.
Nyerere kwa utashi wake kuamua kuiingiza mazima Tanganyika kwenye Muungano na kuifuta kabisa wakati Karume yeye aliingiza masuala machache tu kwenye Muungano na kubaki na madaraka mengine kama Nchi ya Zanzibar.
Kiukweli tuache kumung'unya maneno na kudanganya Umma kwamba Muungano huu umeunganisha Nchi mbili na kuunda Nchi Moja (unitary form of government) kitu ambacho sio kweli.
Haiingii akilini kabisa kuendelea kung'ang'ania kusema Zanzibar sio Nchi wakati ina Serikali yake, Mahakama yake , Bunge lake, Bendera yake, Mipaka yake pamoja na watu wake wenye utambulisho wao Tofauti kabisa na watu wengine wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kitambulisho cha ukaadhi)
Muungano huu huwezi kuhuita ni unitary form wala huwezi kuuita ni federal kwa mujibu wa sheria za kimataifa kuhusu aina za muungano wa nchi/ serikali.
Ili kuondoa manung'uniko Muungano huu (kero za muungano) lazima huu Muungano urekebeshwe kwa kufanya moja kati ya haya mawili
1. Kuifuta Serikali ya Zanzibar na kubaki na Serikali moja tu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapa tutafit kwenye unitary form ya Muungano kwa mujibu wa sheria za kimataifa
2. Kuirudisha Serikali ya Tanganyika hivyo basi kuwe na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania itakayoshughulika ma masuala mahsusi ya Muungano yale 22 tu kwa pande zote mbili. Serikali ya Tanganyika itakayoshughulika masuala yote yasiyokuwa ya Muungano kwa upande wa Tanganyika na Serikali ya Zanzibar itakayoshughulika na masuala yote yasiyokuwa ya Muungano kwa upande wa Zanzibar.. Ambapo tutakuwa tumefiti kwenye federalist type kwa mujibu wa sheria za kimataifa za Muungano wa Nchi/Serikali
 
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.

Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.

Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional Law, Watanzania ni wa hurumiwa tuu, Mungu Saidia, sio serikali, sio Bunge wala Mahakama zetu zinafuata dhima ya mtunga katiba, ndio maana serikali yetu inatunga miswada batili ya sheria inayokwenda kinyume na katiba, Bunge linatunga sheria batili, Mahakama Kuu inabatilisha, sheria hizo batili, Mahakama ya Rufaa inakubalia na Mahakama Kuu kuhusu ubatili, kisha inajifunga mikono kwa kunawa mikono kujiosha kama Pilato alipomhukumu Mwana wa Adamu, kifo msalabani na inazirudisha Bungeni, Bunge lile lile lililotunga batili, at ndio limebembelezwa kuuondoa huo ubatili, matokeo yake ubatili huo upo mpaka leo ndani ya katiba yetu na ndani ya sheria yetu ya uchaguzi na hadi hii sheria mpya ya uchaguzi ni batili!.

Kwa upande wa International law, kuna miongano miwili mikuu, Muungano wa Union, na Muungano wa federation.

kiukweli kabisa Muungano wetu kimataifa hauna utata wowote, muungano wetu ni Muungano wa Union ya nchi mbili zimeungana, zote zikapoteza sovereignty zake na kuzikabidhi nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika, na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzayenye utawala wake wa ndani.

Kizungumkuti ni ndani ya Muungano, Muungano wetu ni wa federation yenye washirika wawili, katiba mbili, Marais wawili, mabunge mawili, mshirika mmoja ndie nchi mwenye sovereignty na mshirika wa pili sio nchi, hana sovereignty, ila kwenye katiba yake anajiita ni nchi, katiba ya mshirika mwingine haiotambui katiba ya mshirika mwenzake!, mambo ni shaghalabaghala!.

Mshirika ambaye sio nchi, akajiunga na OIC, hivyo kuonekana kama ni Tanzania ndio imejiunga na OIC, Bunge la mshirika mmoja likakasirika na kumlazimisha mshirika mwingine ajitoe OIC, halafu Tanzania itajiunga, kumbe ni danganya toto!.

Sasa baadhi ya Wanzanzibari wanatamani kujiunga na OIC.

Kwa vile Zanzibar sio nchi, haina sovereignty, has no capacity to contract an international treaty, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwa niaba ya Zanzibar, na ikitokea Zanzibar ikashindwa kulipa deni, anayelipa ni JMT.

Hebu msikie Mzanzibari hiyu akililia OIC

Kwa vile the status of Zanzibar ndani ya Muungano ni sawa sawa kabisa na the status of Dubai ndani ya UAE, Dubai imepewa special status, inaweza kuingia mikataba ya kimataifa ya kibiashara.

Sasa kama Tanzania ambayo ni nchi, ikaingia mkataba wa kimataifa na Dubai ambayo sii nchi, ukaletwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge letu, then kwanini Zanzibar inazuiwa kuingia mikataba ya kimataifa wakati mwenzake Dubai anaingia?.

Kama kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar inajiita ni nchi lakini sio nchi!, ila kama kweli Zanzibar ni nchi, haihitaji ruhusa ya mtu yeyote kujinga OIC, wala haihitaji udhamini wa mtu yeyote kuingia mikataba ya kimataifa!.

Ndio maana wakati wa mjadala wa DP World na Bandari zetu, nilisema mkataba ule umetusaidia sana kuujua ukilaza wa wanasheria wetu na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, kuridhia mkataba wa an entity which has no the capacity to contract, nikawashauri Zanzibar to take that advantage kuikata minyororo inayowazuia kuifanya Zanzibar iwe a free port.

Kama kwa Dubai Tumeweza, Why not Zanzibar?.

Paskali
Umeandika kwa umakini. Nchi hii kila mtu angeweka UCCM pembeni na kutukuza ukweli hakika tungekuwa mbali na tukaheshimika hata kwa mataifa mengine tofauti na sasa eti wanatulinganisha na maiti.
Hebu tukubaliane, CCM ni kirusi kibaya mno ndani ya jamii yetu Tanzania sasa kwa nini tunajizungusha zungusha kukitokomeza?
 
Umeandika kwa umakini. Nchi hii kila mtu angeweka UCCM pembeni na kutukuza ukweli hakika tungekuwa mbali na tukaheshimika hata kwa mataifa mengine tofauti na sasa eti wanatulinganisha na maiti.
Hebu tukubaliane, CCM ni kirusi kibaya mno ndani ya jamii yetu Tanzania sasa kwa nini tunajizungusha zungusha kukitokomeza?
JPM akasema mavyama vyama tumeletelezwa yanatuchelewesha sana, NAKUELEWA.

Na sio ccm tu vyama vyote kaz kubwa ni ubishani, kupinga, kuongelea cheap a d light issues na sio maendeleo
 
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.

Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.

Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional Law, Watanzania ni wa hurumiwa tuu, Mungu Saidia, sio serikali, sio Bunge wala Mahakama zetu zinafuata dhima ya mtunga katiba, ndio maana serikali yetu inatunga miswada batili ya sheria inayokwenda kinyume na katiba, Bunge linatunga sheria batili, Mahakama Kuu inabatilisha, sheria hizo batili, Mahakama ya Rufaa inakubalia na Mahakama Kuu kuhusu ubatili, kisha inajifunga mikono kwa kunawa mikono kujiosha kama Pilato alipomhukumu Mwana wa Adamu, kifo msalabani na inazirudisha Bungeni, Bunge lile lile lililotunga batili, at ndio limebembelezwa kuuondoa huo ubatili, matokeo yake ubatili huo upo mpaka leo ndani ya katiba yetu na ndani ya sheria yetu ya uchaguzi na hadi hii sheria mpya ya uchaguzi ni batili!.

Kwa upande wa International law, kuna miongano miwili mikuu, Muungano wa Union, na Muungano wa federation.

kiukweli kabisa Muungano wetu kimataifa hauna utata wowote, muungano wetu ni Muungano wa Union ya nchi mbili zimeungana, zote zikapoteza sovereignty zake na kuzikabidhi nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika, na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzayenye utawala wake wa ndani.

Kizungumkuti ni ndani ya Muungano, Muungano wetu ni wa federation yenye washirika wawili, katiba mbili, Marais wawili, mabunge mawili, mshirika mmoja ndie nchi mwenye sovereignty na mshirika wa pili sio nchi, hana sovereignty, ila kwenye katiba yake anajiita ni nchi, katiba ya mshirika mwingine haiotambui katiba ya mshirika mwenzake!, mambo ni shaghalabaghala!.

Mshirika ambaye sio nchi, akajiunga na OIC, hivyo kuonekana kama ni Tanzania ndio imejiunga na OIC, Bunge la mshirika mmoja likakasirika na kumlazimisha mshirika mwingine ajitoe OIC, halafu Tanzania itajiunga, kumbe ni danganya toto!.

Sasa baadhi ya Wanzanzibari wanatamani kujiunga na OIC.

Kwa vile Zanzibar sio nchi, haina sovereignty, has no capacity to contract an international treaty, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwa niaba ya Zanzibar, na ikitokea Zanzibar ikashindwa kulipa deni, anayelipa ni JMT.

Hebu msikie Mzanzibari hiyu akililia OIC

Kwa vile the status of Zanzibar ndani ya Muungano ni sawa sawa kabisa na the status of Dubai ndani ya UAE, Dubai imepewa special status, inaweza kuingia mikataba ya kimataifa ya kibiashara.

Sasa kama Tanzania ambayo ni nchi, ikaingia mkataba wa kimataifa na Dubai ambayo sii nchi, ukaletwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge letu, then kwanini Zanzibar inazuiwa kuingia mikataba ya kimataifa wakati mwenzake Dubai anaingia?.

Kama kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar inajiita ni nchi lakini sio nchi!, ila kama kweli Zanzibar ni nchi, haihitaji ruhusa ya mtu yeyote kujinga OIC, wala haihitaji udhamini wa mtu yeyote kuingia mikataba ya kimataifa!.

Ndio maana wakati wa mjadala wa DP World na Bandari zetu, nilisema mkataba ule umetusaidia sana kuujua ukilaza wa wanasheria wetu na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, kuridhia mkataba wa an entity which has no the capacity to contract, nikawashauri Zanzibar to take that advantage kuikata minyororo inayowazuia kuifanya Zanzibar iwe a free port.

Kama kwa Dubai Tumeweza, Why not Zanzibar?.

Paskali
Wajiondoe kwenye muungano
 
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.

Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.

Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional Law, Watanzania ni wa hurumiwa tuu, Mungu Saidia, sio serikali, sio Bunge wala Mahakama zetu zinafuata dhima ya mtunga katiba, ndio maana serikali yetu inatunga miswada batili ya sheria inayokwenda kinyume na katiba, Bunge linatunga sheria batili, Mahakama Kuu inabatilisha, sheria hizo batili, Mahakama ya Rufaa inakubalia na Mahakama Kuu kuhusu ubatili, kisha inajifunga mikono kwa kunawa mikono kujiosha kama Pilato alipomhukumu Mwana wa Adamu, kifo msalabani na inazirudisha Bungeni, Bunge lile lile lililotunga batili, at ndio limebembelezwa kuuondoa huo ubatili, matokeo yake ubatili huo upo mpaka leo ndani ya katiba yetu na ndani ya sheria yetu ya uchaguzi na hadi hii sheria mpya ya uchaguzi ni batili!.

Kwa upande wa International law, kuna miongano miwili mikuu, Muungano wa Union, na Muungano wa federation.

kiukweli kabisa Muungano wetu kimataifa hauna utata wowote, muungano wetu ni Muungano wa Union ya nchi mbili zimeungana, zote zikapoteza sovereignty zake na kuzikabidhi nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika, na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzayenye utawala wake wa ndani.

Kizungumkuti ni ndani ya Muungano, Muungano wetu ni wa federation yenye washirika wawili, katiba mbili, Marais wawili, mabunge mawili, mshirika mmoja ndie nchi mwenye sovereignty na mshirika wa pili sio nchi, hana sovereignty, ila kwenye katiba yake anajiita ni nchi, katiba ya mshirika mwingine haiotambui katiba ya mshirika mwenzake!, mambo ni shaghalabaghala!.

Mshirika ambaye sio nchi, akajiunga na OIC, hivyo kuonekana kama ni Tanzania ndio imejiunga na OIC, Bunge la mshirika mmoja likakasirika na kumlazimisha mshirika mwingine ajitoe OIC, halafu Tanzania itajiunga, kumbe ni danganya toto!.

Sasa baadhi ya Wanzanzibari wanatamani kujiunga na OIC.

Kwa vile Zanzibar sio nchi, haina sovereignty, has no capacity to contract an international treaty, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwa niaba ya Zanzibar, na ikitokea Zanzibar ikashindwa kulipa deni, anayelipa ni JMT.

Hebu msikie Mzanzibari hiyu akililia OIC

Kwa vile the status of Zanzibar ndani ya Muungano ni sawa sawa kabisa na the status of Dubai ndani ya UAE, Dubai imepewa special status, inaweza kuingia mikataba ya kimataifa ya kibiashara.

Sasa kama Tanzania ambayo ni nchi, ikaingia mkataba wa kimataifa na Dubai ambayo sii nchi, ukaletwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge letu, then kwanini Zanzibar inazuiwa kuingia mikataba ya kimataifa wakati mwenzake Dubai anaingia?.

Kama kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar inajiita ni nchi lakini sio nchi!, ila kama kweli Zanzibar ni nchi, haihitaji ruhusa ya mtu yeyote kujinga OIC, wala haihitaji udhamini wa mtu yeyote kuingia mikataba ya kimataifa!.

Ndio maana wakati wa mjadala wa DP World na Bandari zetu, nilisema mkataba ule umetusaidia sana kuujua ukilaza wa wanasheria wetu na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, kuridhia mkataba wa an entity which has no the capacity to contract, nikawashauri Zanzibar to take that advantage kuikata minyororo inayowazuia kuifanya Zanzibar iwe a free port.

Kama kwa Dubai Tumeweza, Why not Zanzibar?.

Paskali
 

Attachments

  • VID-20241003-WA0005.mp4
    14.7 MB
  • VID-20241003-WA0069.mp4
    3.6 MB
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.

Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.

Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional Law, Watanzania ni wa hurumiwa tuu, Mungu Saidia, sio serikali, sio Bunge wala Mahakama zetu zinafuata dhima ya mtunga katiba, ndio maana serikali yetu inatunga miswada batili ya sheria inayokwenda kinyume na katiba, Bunge linatunga sheria batili, Mahakama Kuu inabatilisha, sheria hizo batili, Mahakama ya Rufaa inakubalia na Mahakama Kuu kuhusu ubatili, kisha inajifunga mikono kwa kunawa mikono kujiosha kama Pilato alipomhukumu Mwana wa Adamu, kifo msalabani na inazirudisha Bungeni, Bunge lile lile lililotunga batili, at ndio limebembelezwa kuuondoa huo ubatili, matokeo yake ubatili huo upo mpaka leo ndani ya katiba yetu na ndani ya sheria yetu ya uchaguzi na hadi hii sheria mpya ya uchaguzi ni batili!.

Kwa upande wa International law, kuna miongano miwili mikuu, Muungano wa Union, na Muungano wa federation.

kiukweli kabisa Muungano wetu kimataifa hauna utata wowote, muungano wetu ni Muungano wa Union ya nchi mbili zimeungana, zote zikapoteza sovereignty zake na kuzikabidhi nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika, na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzayenye utawala wake wa ndani.

Kizungumkuti ni ndani ya Muungano, Muungano wetu ni wa federation yenye washirika wawili, katiba mbili, Marais wawili, mabunge mawili, mshirika mmoja ndie nchi mwenye sovereignty na mshirika wa pili sio nchi, hana sovereignty, ila kwenye katiba yake anajiita ni nchi, katiba ya mshirika mwingine haiotambui katiba ya mshirika mwenzake!, mambo ni shaghalabaghala!.

Mshirika ambaye sio nchi, akajiunga na OIC, hivyo kuonekana kama ni Tanzania ndio imejiunga na OIC, Bunge la mshirika mmoja likakasirika na kumlazimisha mshirika mwingine ajitoe OIC, halafu Tanzania itajiunga, kumbe ni danganya toto!.

Sasa baadhi ya Wanzanzibari wanatamani kujiunga na OIC.

Kwa vile Zanzibar sio nchi, haina sovereignty, has no capacity to contract an international treaty, hivyo mikataba yote ya kimataifa ya Zanzibar, inaingiwa na JMT kwa niaba ya Zanzibar, na ikitokea Zanzibar ikashindwa kulipa deni, anayelipa ni JMT.

Hebu msikie Mzanzibari hiyu akililia OIC

Kwa vile the status of Zanzibar ndani ya Muungano ni sawa sawa kabisa na the status of Dubai ndani ya UAE, Dubai imepewa special status, inaweza kuingia mikataba ya kimataifa ya kibiashara.

Sasa kama Tanzania ambayo ni nchi, ikaingia mkataba wa kimataifa na Dubai ambayo sii nchi, ukaletwa Bungeni na kuridhiwa na Bunge letu, then kwanini Zanzibar inazuiwa kuingia mikataba ya kimataifa wakati mwenzake Dubai anaingia?.

Kama kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar inajiita ni nchi lakini sio nchi!, ila kama kweli Zanzibar ni nchi, haihitaji ruhusa ya mtu yeyote kujinga OIC, wala haihitaji udhamini wa mtu yeyote kuingia mikataba ya kimataifa!.

Ndio maana wakati wa mjadala wa DP World na Bandari zetu, nilisema mkataba ule umetusaidia sana kuujua ukilaza wa wanasheria wetu na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama yetu, kuridhia mkataba wa an entity which has no the capacity to contract, nikawashauri Zanzibar to take that advantage kuikata minyororo inayowazuia kuifanya Zanzibar iwe a free port.

Kama kwa Dubai Tumeweza, Why not Zanzibar?.

Paskali

Tanga nao wanataka kujiunga OIC
 
Back
Top Bottom