Zanzibar: Kampeni ya kupinga ukatili na udhalilishaji kwa Watoto, Wazee na Wanawake kuanza Desemba 14, 2024

Zanzibar: Kampeni ya kupinga ukatili na udhalilishaji kwa Watoto, Wazee na Wanawake kuanza Desemba 14, 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Kampeni ya Taifa ya Mtoto Ni Mboni Yangu imesogezwa mbele na kutarajiwa kuanza Desemba 14, 2024 Zanzibar chini ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ikisimamiwa na Waziri Riziki Pembe Juma kwa kushirikiana na Taasisi ya Ndoto Ajira.

Lengo la Kampeni hii ni kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili, Udhalilishaji pamoja na wanawake na wazee ili kuleta jamii yenye maadili mema.

Mgeni rasmi katika kampeni hii anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi Makamu wa pili wa Rais wa serikali ya mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdalla. Kampeni hii itaendana na Marathon itakayoshirikisha Washiriki 20,000 kutoka Bara na Visiwani itakayofanyika Forodhani, Zanzibar.
WhatsApp Image 2024-11-27 at 09.03.35_94d70877.jpg

Pia soma:
~
Waziri Riziki Pembe: Lengo la Kampeni ya MTOTO NI MBONI YANGU ni kutokomeza ukatili na unyanyasaji Wanawake na Watoto
~ Mbio za Mtoto ni Mboni Yangu kufanyika Novemba 23, 2024, Zanzibar
~ Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Riziki Pembe Juma atembelea JamiiForums
 
Back
Top Bottom