Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo

Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo

Niliiona jana hii habari, sema Wahusika wametulia kwa sababu wanajua walichokuwa wakifanya sio sahihi

Huwezi ukaejenga makanisa na kwenye makazi ya watu na kuwapigia kelele usiku kucha kwa miujiza ya kitapeli

Zanzibar hawapendi ujinga
Yapo makanisa kama Katoliki ambayo tunaheshimu na kuishi nao kwa amani, ila haya makanisa ya kijasiriamali yaliyojaa utapeli hayawezi kuvumilika.

Hakuna uhuru wa kuabudu usio na miaka, ndio maana hata serikali ilimfungia Nabii Tito pia imefungia Zumaridi
Daaaah umenisikitisha sanaaa mkuu hata uku ayo makanisa yapo nayanpigah kelelee lkn utaratibu upo unaenda serikalini kuripoti izoo kelee wao wanakuja kuongea na wenye kanisa juu ya izo kelele na kuweka mutual agreement lakini sijawahiii sikia huku bara kanisa limebomolewa juu ya keleleee labda kama unashabikia udiniiii sawaaaa ntakubaliana na hoja yako lkn kama ni ishu ya keleleee haibomoi kanisa
 
Kwa io uzae watoto bila mpangilio wanaume wengine waje kumlipia ada. Nonsense

Majinga km wewe yanadhani maisha ni mstari uliinyooka

Pumbavu zako unaweza kufa leo .Je tuuze maiti yako ili ilee familia yako???mfia dini??
 
Majinga km wewe yanadhani maisha ni mstari uliinyooka

Pumbavu zako unaweza kufa leo .Je tuuze maiti yako ili ilee familia yako???mfia dini??
Tuliza munkari kijana wekeza kwa wanao vitu tangible pia wekeza kwa ndugu. Wewe unadhani mtu akifa ndo watoto wake watateseka!
Ulisomea nini Huko skuli kwenu?
 
Hao waliofanya hayo walikuwa wahalifu, mapadri wanaheshimika Sana Zanzibar
Sio kweli...

Ukiristo Ni mwiba znz.. ..

Labda tu wao wenye makanisa waangalie wapi wajenge..

Ubago.. nk

Lakini hakuna Padre Wala sista anayependwa ..na afadhali sasa hivi imebidi kuwazoea maana wapo wengi .
 
Sio kweli...

Ukiristo Ni mwiba znz.. ..

Labda tu wao wenye makanisa waangalie wapi wajenge..

Ubago.. nk

Lakini hakuna Padre Wala sista anayependwa ..na afadhali sasa hivi imebidi kuwazoea maana wapo wengi .
Wewe ni mkazi wa Zanzibar?
 
Sio kweli...

Ukiristo Ni mwiba znz.. ..

Labda tu wao wenye makanisa waangalie wapi wajenge..

Ubago.. nk

Lakini hakuna Padre Wala sista anayependwa ..na afadhali sasa hivi imebidi kuwazoea maana wapo wengi .
Inshot!

Uislam popote ulipo haujijengi ktk kuishi na walio tofauti na wao kwa amani usisikize ngonjera sijui uislam ni amani au kitu gani amani ktk uislam ni pale wote waliopo pale ni waislam na siyo tofauti na hivyo.
 
Halafu wewe inaonyesha ni mkristo,

Ila ubaguzi wa utaifa ndy unakusumbuwa..


jonny na msikiti wapi na wapi?

Unaona kama mtu wa bara hana haki kumiliki ardhi huko.

Mimi mwanangu kazaliwa hapo unguja.
Lakini nimempa uraia wa bara ili asije kunyanyasika na ubaguzi baadae.
doh kwani bara na unguja si kitu kimoja? au ndio chukua chako mapema
 
Mbona waislam dini yetu tunafunga maspika na kuanza kupiga kelele kwa kiarabu au kwa kuwa wewe ni dini ya Allah
Ila haya makanisa yana kelele jamani, hawana ustaarabu kabisaaa. Sauti zinasikika 3 kanisani ila hizo kelele utafikiri mungu wao ni kiziwi. Mchana kutwa na usiku kucha makelele tuuuuu.
 
Hawa jamaa wana matatizo dunia nzima! Ukiwaona kule Finsbury park wanavyolazimisha kuwa Yemen utashangaa!
Juzi hadi mzee Said mwenyewe aliwashangaa wenzake wa UK walipoamua kufunga mtaa wa Times square pale london muda wa ibada wakati kuna maeneo mengine mengi tu jirani ambayo wangeweza kusali bila kuwabugudhi wengine,hawa huwa ni wakorofi by nature,wanafanya jambo la shari,ili ukasirike uwaguse kwa mkono au kwa maneno,kisha wapate sababu ya kufanya kile walichoazimia kukifanya,hatari sana hawa jamaa
 
Pole kwa waathirika, natosheka na kauli iliyotolewa na serikali, kwa mujibu wa baadhi ya comments nilizosoma uliyeanzisha hii mada lengo lako limefana kwa kiasi chake, hongera
 
Back
Top Bottom