Zanzibar Katiba tunayo yetu, hatutaki Katiba Mpya

Zanzibar Katiba tunayo yetu, hatutaki Katiba Mpya

karume na nyerere ndio walishawahi kutuambia koti la muungano limeanza kubana, siku utakapokutana nao waulize walilishona au kununua wpi

Kwa hiyo unatakaje aisee?
Hilo koti liko wapi au na wewe
umeanza kuweweseka baada ya kuona
miaka ndani ya Muungano inaongezeka?
Pole sana kwa kujifanya mpinga Muungano
na hiyo ajenda yako ya kuvunja Muungano
iliyoko ndani yako ipeleke Somalia, hicho kitu ndani
ya Ardhi ya Tanzania sahau!
 
karume na nyerere ndio walishawahi kutuambia koti la muungano limeanza kubana, siku utakapokutana nao waulize walilishona au kununua wpi
Acha uongo wako wewe mchumia tumbo, we kwan ulikuwepo wakati wakiongelea hilo?
 
Sheikh Msellem huyo ...na huu ndio ugaidi ulomfanya atiwe matesoni tanganyika pamoja na masheikh wengine wa uamsho.
Uonevu mkubwa dhidi ya wazanzibar na waislam kwa jumla.
Niliona video moja humu jf ikimuonesha sheikh Basaleh wakisema walimuokoa Kikwete uchaguzi ulopita dhidi ya hasira ya kanisa kutompa kura.
Tunakumbuka maagizo ya mabaraza ya kikristo juu ya uchaguzi wa 2010. Waislam walimrejesha madarakani..lakini leo amewatia ndani masheikh wetu ndani....Allah atawalipia inshallah
 
Sheikh Msellem huyo ...na huu ndio ugaidi ulomfanya atiwe matesoni tanganyika pamoja na masheikh wengine wa uamsho.
Uonevu mkubwa dhidi ya wazanzibar na waislam kwa jumla.
Niliona video moja humu jf ikimuonesha sheikh Basaleh wakisema walimuokoa Kikwete uchaguzi ulopita dhidi ya hasira ya kanisa kutompa kura.
Tunakumbuka maagizo ya mabaraza ya kikristo juu ya uchaguzi wa 2010. Waislam walimrejesha madarakani..lakini leo amewatia ndani masheikh wetu ndani....Allah atawalipia inshallah

Acha zako hizo, uzushi huo usituletee hapa. Kalale.
 
Acha zako hizo, uzushi huo usituletee hapa. Kalale.

Uzushi gani ?
Huyo mtoa mada kwenye youtube unamjua ?

Huyo ni sheikh Msellem yupo kizuizini Tanganyika...

Kalale wewe usie weza kuumeza ukweli
 
Uzushi gani ?
Huyo mtoa mada kwenye youtube unamjua ?

Huyo ni sheikh Msellem yupo kizuizini Tanganyika...

Kalale wewe usie weza kuumeza ukweli

Sikuelewi, maana unanipa mambo ya kufikirika hapa, acha mambo yako hayo. Lala bana, usingizi umegoma?
 
Back
Top Bottom