#COVID19 Zanzibar: Kila Mzanzibar anayetaka Chanjo ya COVID-19 atapata, hakuna mgeni ataingia bila cheti cha Vipimo vya Corona

Wageni ni wageni ,Watanganyika Kwa Zanzibar pia ni wageni,

Aisee yesu njoo katiba ije, alisikika bibi mmoja Arusha, tuna muungano wa ajabu mno, katiba ,katiba
 
Bora Zanzibar ipo na ina serikali, wewe TANGANYIKA ya kwako iko wapi ? Ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio nje ,TANGANYIKA ni koloni la Zanzibar,

Kwamba Zanzibar ananguvu , kawatia Watanganyika kitanzi,wapi waishi, wapi waajiriwe, wapi wapate ardhi ,wapi wasafiri KWA passport, ila wao hakuna limit Tanganyika na Zanzibar ni yao na ruksa popote pale

Alafu utawasikia kuandika barua UN kutaka mamlaka kamili, huku wakijua ndani ya Muungano walishaimeza TANGANYIKA ,KWA kweli Kama watataka mamlaka kamili kwanza warudishe Tanganyika yetu,
 
Hii haijakaa vizuri, ninavyofahamu mimi Zanzibar ni sehemu ya Jamuhuri ya Tanzania hivyo anayepaswa kutoa kauli hiyo ni Serikali ya Jamuhuri ya Muungano.

Ila kwa kuwa humu Jf tunawanasheria wazuri, nina imani tutapata elimu juu ya hili
Afya sio ishu ya Muungano. Hebu rudi darasani kidogo utambue mambo gani ya ni ya Muungano na mengine si ya Muungano...

Maana usipoyajua iko siku utauliza kwanini mama Samia hajamtumbua mkuu wa mkoa wa Unguja Kaskazini...
 
Katiba haipo sahihi.
Zanzibar huchukuliwa Kama sehemu ya muungano katika Mambo yale tu yaliyo ya muungano.
Katika Mambo yasiyo ya muungano Zanzibar ni nchi yenye maamuzi na madaraka kamili .
 
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya wa serikali ya Mapinduzi , Mh Nassoro Mazrui , lengo ni kudhibiti maambukizi ya wimbi la tatu

Bado haijafahamika kama wageni kutoka Tanganyika nao watahusishwa au la...
Duh hayo nayo Mambo...nadhani ni sawa ili kureduce the outbreak
 
Afya sio ishu ya Muungano. Hebu rudi darasani kidogo utambue mambo gani ya ni ya Muungano na mengine si ya Muungano...

Maana usipoyajua iko siku utauliza kwanini mama Samia hajamtumbua mkuu wa mkoa wa Unguja Kaskazini...

Hapo hapo masuala ya Uhamiaji ni mambo ya Muungano.
 
Katika huu muungano kuna mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Masuala ya afya si Jambo la muungano.

Kuna haja mashuleni kuanzia shule ya msingi kuwepo mada rasmi juu ya huu muungano.

Na masuala ya Uhamiaji ni ya Muungano.
 
Nyie kaeni na ujinga wenu! Msisahau rais wa Znz ni medical doc hivyo anatenda yapasayo. Safi Znz, zuia hao bara wasiwaletee makorona kwa ujinga wao!
Nyie endeleeni kuimba mapambio ya mwenda zake mkaendelee kupukutika!
 
Huu nao ni ujinga mwingine; kwani sherehe zile zinazofanyika siku nchi ya Zanzibar ilikua huru inafanyika kama nini? Au Rais Mwinyi anaongoza wilaya kama siyo Taifa?
 
Afya sio ishu ya Muungano. Hebu rudi darasani kidogo utambue mambo gani ya ni ya Muungano na mengine si ya Muungano...

Maana usipoyajua iko siku utauliza kwanini mama Samia hajamtumbua mkuu wa mkoa wa Unguja Kaskazini...
kama anapanga nani akawe rais zanzibar,kutumbua ni kazi ndogo sana kwake.
 
Hii haijakaa vizuri, ninavyofahamu mimi Zanzibar ni sehemu ya Jamuhuri ya Tanzania hivyo anayepaswa kutoa kauli hiyo ni Serikali ya Jamuhuri ya Muungano.

Ila kwa kuwa humu Jf tunawanasheria wazuri, nina imani tutapata elimu juu ya hili
Kuna mambo ya muungano na yasiyokuwa ya muungano.

au unadhani kila jambo ni la muungano?
 
Zanzibar hongera sana,
Fungia yeyote asiingie hata kama ni nani chanjo kwanza
 

Kichwa cha habari hii kimekaa vizuri sana:

"Kila Mzanzibari anayetaka chanjo atapata. Hakuna mgeni atakaye ingia bila cheti cha kupimwa .."

Zanzibar wamedhamiria. Tunasubiria kwa hamu watuambukize mema haya.
 
Fungia kote kabisa. Na bara pia. Siyo ulaya tu.
 
Hii picha ya mwisho ya huyo wazir imenifanya nimkumbuke yule Ustaadh CAG
 
Wameshajiridhisha na madhara ya muda mfupi na mrefu, spike proteins na lipid nanoparticles kwenye ovary na bone marrow.......thrombocytopaenia, effects za autoimmunity ambazo zinaweza kuchukua miaka kuanza kuonekana, uwezekano wa leukaemias na lymphomas, au wameamua kudemka tu kwamba wanachanja kila mzanziberi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…