Tetesi: Zanzibar kuandaa Olimpiki 2040

Tetesi: Zanzibar kuandaa Olimpiki 2040

Kwa Africa inasemekana Egypt anaweza kupata kwani wana miundombinu mingi na miji iliyokamilika
Kwa ZnZ inataka hela hasa ila kwa Mungu madogo linawezekana
Ila nilidhani 2036 bado hawajapata kumbe tayari Qatar
Saudia nae alitamani world cup 2030 kakosa nako
 
Kwa Africa inasemekana Egypt anaweza kupata kwani wana miundombinu mingi na miji iliyokamilika
Kwa ZnZ inataka hela hasa ila kwa Mungu madogo linawezekana
Ila nilidhani 2036 bado hawajapata kumbe tayari Qatar
Saudia nae alitamani world cup 2030 kakosa nako
Worldcup au Olympic
 
He he he heee Zanzibar nayo ni nchi au sehemu ya Tanzania?
 
Back
Top Bottom