Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante!Wataruhusu wanawake kuogelea na vichupi?!! Hiyo si nchi ya alah??
Halafu unajua wewe ni mtu mzima sasaZanzibar ipo katika mchakato wa kuomba kuandaa mashindano ya Olimpiki 2040. Baada ya Qatar 2036.
Ni Zanzibar inaandaa au Tanzania?! Nani huyu anayehujuma mama Tanzania?Zanzibar ipo katika mchakato wa kuomba kuandaa mashindano ya Olimpiki 2040. Baada ya Qatar 2036.
Bia zinauzwa, kitimoto inauzwa , vichupi jambo dogo sanaWataruhusu wanawake kuogelea na vichupi?!! Hiyo si nchi ya alah??
Wafanye kazi waache kula tozo za bara hawana jipya maisha aghali sana hukoZanzibar ipo katika mchakato wa kuomba kuandaa mashindano ya Olimpiki 2040. Baada ya Qatar 2036.
Worldcup au OlympicKwa Africa inasemekana Egypt anaweza kupata kwani wana miundombinu mingi na miji iliyokamilika
Kwa ZnZ inataka hela hasa ila kwa Mungu madogo linawezekana
Ila nilidhani 2036 bado hawajapata kumbe tayari Qatar
Saudia nae alitamani world cup 2030 kakosa nako
Qatar, Saudia na India walitaka Olympic ya 2036Worldcup au Olympic
Ahaa sawa, ila nchi za kiislam na Olympic kama ina ukakasi ,bora kidogo worldcupQatar, Saudia na India walitaka Olympic ya 2036
Na World cup ya 2030 ndio kina Spain na Morocco ila Saudia aliwania kajitoa
Nimeongezea tu hiyo
TakbiirAhaa sawa, ila nchi za kiislam na Olympic kama ina ukakasi ,bora kidogo worldcup