yellow java JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 1,228 Reaction score 2,234 Aug 27, 2023 #121 Kwa idadi ya wazanzibar walivyo wengi huku Tanganyika sijui itakuaje .. Na kile kisiwa kilivyo hakitoshi mahitaji .
Kwa idadi ya wazanzibar walivyo wengi huku Tanganyika sijui itakuaje .. Na kile kisiwa kilivyo hakitoshi mahitaji .
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Aug 28, 2023 Thread starter #122 yellow java said: Kwa idadi ya wazanzibar walivyo wengi huku Tanganyika sijui itakuaje .. Na kile kisiwa kilivyo hakitoshi mahitaji . Click to expand... Kila mtu aende kwao sasa
yellow java said: Kwa idadi ya wazanzibar walivyo wengi huku Tanganyika sijui itakuaje .. Na kile kisiwa kilivyo hakitoshi mahitaji . Click to expand... Kila mtu aende kwao sasa
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Jun 21, 2024 Thread starter #123 Zanzibar na wao wagawe bandari zote kwa UAE kama ilivyofanyika kwa Bara
C Conquistador JF-Expert Member Joined Jun 10, 2024 Posts 1,435 Reaction score 3,463 Jun 21, 2024 #124 Anayefaidika na huu muungano ukiachilia maneno ya machawa ni nani? Kama Kuna raia toka bara anayefaidika na muungano aseme.
Anayefaidika na huu muungano ukiachilia maneno ya machawa ni nani? Kama Kuna raia toka bara anayefaidika na muungano aseme.