FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Zanzibar wakijiunga na U.A.E bara tutafaidika sana, uwekezaji mkubwa utakaofanywa zenji utatunufaisha bara hasa kibiashara kutokana na close proximity. Kigamboni nayo itadevelop rapidly!
===============
Update: 25/08/2021
kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii
www.jamiiforums.com
The Zanzibar Domino tower
===============
Update: 25/08/2021
kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii
Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70. Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower...
The Zanzibar Domino tower