Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Zanzibar sio jimbo la Tanzania ila ni nchi iliyopo kwenye muungano, natamani sana siku moja nione ikicheza kimataifa na hakika watafika mbali.
Kwanini haya mashirikisho ya kimataifa yanawanyima uanachama? Hawana vigezo vya kuwa mwanachama au kwa sababu wapo kwenye muungano na Tanzania bara?
Kuna nchi zipo kwenye muungano na bado wana uanachama wa FIFA na shirikisho husika bara walilopo, mf.
1. Wales
2. England
3. Ireland
4. Hong Kong
5. Kosovo n.k.
Ni nini kinaikwamisha Zanzibar kupewa uanachama kamili ilihali ngazi ya club bingwa Afrika wanapeleka timu, hii imekaaje wataalamu wa soka?
Kwanini haya mashirikisho ya kimataifa yanawanyima uanachama? Hawana vigezo vya kuwa mwanachama au kwa sababu wapo kwenye muungano na Tanzania bara?
Kuna nchi zipo kwenye muungano na bado wana uanachama wa FIFA na shirikisho husika bara walilopo, mf.
1. Wales
2. England
3. Ireland
4. Hong Kong
5. Kosovo n.k.
Ni nini kinaikwamisha Zanzibar kupewa uanachama kamili ilihali ngazi ya club bingwa Afrika wanapeleka timu, hii imekaaje wataalamu wa soka?