Naona bado Tanzania kuna watu wana chembe za ukabila.Safi sana Wazanzibar kwa kuakikisha nchi yenu amuirudishi kwa waarabu tena. Mapambano yaendelee wazalendo tupo nyuma yenu.
Wa zanzibari wakidai haki zao wanataka kurejesha wa Arabu lakini watanganyika wakidai haki zao hakuna kusema kama wanataka kumrejesha mngereza au mjarumani.
Siasa mbovu za chuki:
Kikwete kawenda kuomba Omani?
Lukuvu hakwenda kuomba Omani?
na wengine tele vipi hawo au wazanzibari tuu ndio kwa wawo ni makosa. be open mind.
It is time for the truth. you cannot full all the people all the time.