Zanzibar Ligi yasimama kupisha mfungo wa Ramadhan

Mimi sioni faida ya muungano tungetengana kila mtu akashinda mechi zake
 
Shida mna lazimisha watu wasio wabusu jiwe na wao wajiunge na sherehe zenu za kula kupita kiasi eating festival
 
Kusimamisha ligi sbabu ya mfungo ni very unprofesinal. Nauhakika hata wachezaji wenyewe hawajapenda kwani inawaharibia na wanaonekana mdebwedo.

Waislam kibao wanakipiga ulaya huku wamefunga. Hata huku bara ivoivo. Sio kila kitu kiingizwe maswala ya udini.
 
Shida mna lazimisha watu wasio wabusu jiwe na wao wajiunge na sherehe zenu za kula kupita kiasi eating festival
Mke wa papa unaumia ukiwa wapi tunanguvu ndio mana tunalazimisha jaribu wewe na kwaresma yako kama hujazomewa mpaka na kuku

Nakualika jioni kufuturu njoo na mumeo mr papa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Shida mna lazimisha watu wasio wabusu jiwe na wao wajiunge na sherehe zenu za kula kupita kiasi eating festival
Mke wa papa unaumia ukiwa wapi tunanguvu ndio mana tunalazimisha jaribu wewe na kwaresma yako kama hujazomewa mpaka na kuku

Nakualika jioni kufuturu njoo na mumeo mr papa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo wanajua wenyewe siyo ligi. FIFA inaitambua?
Kama ulaya mpira unasimama wakati wa futari ili wachezaj waislam waftari kwanini zanzibar ligi isisimame kabisa
 
Nipo huku zanzibar wazee huku biashara nyingi zimesimama yaan maduka yamefungwa na hata mahoteli na restaurants zimefungwa yaani daah

Huu mwezi wazanzibar wameuchukulia serious sana
Wallahi
 
Hao jamaa wanachukia kuanzia uislam, waislam, majina ya kiislam, ibada za waislam, mavazi ya waislam, yani hao wanachukia kila kitu as long as konafanywa na waislam au kina husiana na uislam.
Wana chuki ya ajabu sana, kwanini wasishikilie dini yao
 
Sionagi kama ni ligi hiyo kituko flani kujifurahisha tu..
 
Saudi Arabia ligi inaendelea ila huku walikoletewa dini wanasimamisha ligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…