Kaselele
Senior Member
- May 19, 2022
- 171
- 476
Kiongozi hujielewi ata kidogo, kwenye post kuna sehemu yoyote pameandikwa Zanzibar ni nchi??Kumbe Zanzibar ni nchi
Ungepunguza chuki, effort ya chuki ukaielekeza kwenye maendeleo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi hujielewi ata kidogo, kwenye post kuna sehemu yoyote pameandikwa Zanzibar ni nchi??Kumbe Zanzibar ni nchi
Kwanini mlazimishe na wakati kuna makanisa hapo?
Kwani lazima niwepo Zanzibar?We upo Zanzibar?
We ulifanya sensa ukajua wako ngapi kwa ngapi?Kwahiyo unataka kusema wakristo wako wengi huko Zanzibar kuwiana na waislamu?
"Zanzibar sio nchi" Mizengo PindaKumbe Zanzibar ni nchi
FIFA gani hio ligi haitambuliki ni sawa na diwani cupWenye mpira wao tayari wamefanya uamuzi wanaopinga waende Fifa.
Shida mna lazimisha watu wasio wabusu jiwe na wao wajiunge na sherehe zenu za kula kupita kiasi eating festivalNaona msio kua waislam mnaumizwa sana na kila kitu kinachofanywa na waislam hata kama haki waathiri kwa namna yeyote ile. Mfano mdogo tu ni kwamba Ligi imesimamishwa Zanzibar, wamesimamisha Wazanzibar wenyew, wapo huko Kwao Zanzibar na wewe upo kwenu popote ulipo nje ya Zanzibar kusimamisha kwao au kutokusimamisha hakukuathir ww hata kama usingekuepo huko Zanizbar, ila tu kwavile wamefanya kqa ajil ya kutekeleza ibada Ya Uislam basi nyinyi mnaumia sana na mnalalamika.
Poleni sana kwanza.
Lkn pia hili Allah alishalisema ktk Kitabu kitukufu.
Laa tardhwa ankal yahud wa nnasara hatta tattabia millatahum.
Kusimamisha ligi sbabu ya mfungo ni very unprofesinal. Nauhakika hata wachezaji wenyewe hawajapenda kwani inawaharibia na wanaonekana mdebwedo.Naona msio kua waislam mnaumizwa sana na kila kitu kinachofanywa na waislam hata kama haki waathiri kwa namna yeyote ile. Mfano mdogo tu ni kwamba Ligi imesimamishwa Zanzibar, wamesimamisha Wazanzibar wenyew, wapo huko Kwao Zanzibar na wewe upo kwenu popote ulipo nje ya Zanzibar kusimamisha kwao au kutokusimamisha hakukuathir ww hata kama usingekuepo huko Zanizbar, ila tu kwavile wamefanya kqa ajil ya kutekeleza ibada Ya Uislam basi nyinyi mnaumia sana na mnalalamika.
Poleni sana kwanza.
Lkn pia hili Allah alishalisema ktk Kitabu kitukufu.
Laa tardhwa ankal yahud wa nnasara hatta tattabia millatahum.
Mke wa papa unaumia ukiwa wapi tunanguvu ndio mana tunalazimisha jaribu wewe na kwaresma yako kama hujazomewa mpaka na kukuShida mna lazimisha watu wasio wabusu jiwe na wao wajiunge na sherehe zenu za kula kupita kiasi eating festival
Mke wa papa unaumia ukiwa wapi tunanguvu ndio mana tunalazimisha jaribu wewe na kwaresma yako kama hujazomewa mpaka na kukuShida mna lazimisha watu wasio wabusu jiwe na wao wajiunge na sherehe zenu za kula kupita kiasi eating festival
Wana chuki ya ajabu sana, kwanini wasishikilie dini yaoHao jamaa wanachukia kuanzia uislam, waislam, majina ya kiislam, ibada za waislam, mavazi ya waislam, yani hao wanachukia kila kitu as long as konafanywa na waislam au kina husiana na uislam.
Sasa kitanda usichokilalia utawajadili vipi kunguni wake? Wakristo waliyopo pale hawalalamiki ndiyo uje ubwate wewe hata kukaa hujawahi.Kwani lazima niwepo Zanzibar?
Diwani cup wanashiriki mashindano ya CAFCL na CAFCC!FIFA gani hio ligi haitambuliki ni sawa na diwani cup
Siyo kweli Zanzibar mi siyo mgeni kuna wakrtisto wengi sn kutoka bara wapo pale, kwanini na wao wasipewe haki hiyo?