Wewe msukuma unaumia nini sasa kusimamishwa Acha ujingaSaudi Arabia ligi inaendelea ila huku walikoletewa dini wanasimamisha ligi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe msukuma unaumia nini sasa kusimamishwa Acha ujingaSaudi Arabia ligi inaendelea ila huku walikoletewa dini wanasimamisha ligi
Hii imeakaaje kibiashara? wadhamini wa ligi yao hawatapata airtime kwa mwezi 1, timu zitawalipa posho na mishahara wachezaji bila kufanya kazi? au ligi yao ni ya ridhaa?Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar (@zffzanzibar), Hashim Salum ametangaza kuwa Ligi Kuu ya Zanzibar itasimama kwa muda wa mwezi mmoja kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kuanzia ulioanza leo.
Ligi hiyo inatarajia kurejea Mei 6, 2023.
Chanzo: East Africa TV
Em nambie mbona epl hamjawaita wadini kwa kuruhusu kusimama kwa mchezo ili kutoa nafasi kwa waliofunga ramadhan kufturu . Wakati hawakutoa nafasi hiyo kwa waliofunga kwaresmaHawa jamaa ni wadini sn, mbona Kwaresma haijasimama?
Wabara nasi hatujakatazwa kupumzikaKwani mapumziko hayo yanawahusu nini waislamu wa huko walio wengi
Hilo ni tatizo.
Kwani huku bara hakuna wachezaji waislamu ? Mbona mapumziko hayo hakuna
Kwaresma ni tofauti na ramadan mkuu, funga ya wakristo sio ya kujitangaza. Funga yako ni siri yako.Hawa jamaa ni wadini sn, mbona Kwaresma haijasimama?
Hawaielewi kwaresma hao, wanabwabwaja tu kuleta ligiEm nambie mbona epl hamjawaita wadini kwa kuruhusu kusimama kwa mchezo ili kutoa nafasi kwa waliofunga ramadhan kufturu . Wakati hawakutoa nafasi hiyo kwa waliofunga kwaresma
Sawa mwarabu mpumbavuWewe msukuma unaumia nini sasa kusimamishwa Acha ujinga
Kwahiyo unataka kusema wakristo wako wengi huko Zanzibar kuwiana na waislamu?
Wakiristo haki zao wanapewa kule BeijingSiyo kweli Zanzibar mi siyo mgeni kuna wakrtisto wengi sn kutoka bara wapo pale, kwanini na wao wasipewe haki hiyo?
Ligi nyingi duniani kukitokea jambo zinasimama halafu zina resume, wanakipiga kama kawaida, kwanini una hoji kwa zanzibar, au unaishi dunia ipi wewe?Hii imeakaaje kibiashara? wadhamini wa ligi yao hawatapata airtime kwa mwezi 1, timu zitawalipa posho na mishahara wachezaji bila kufanya kazi? au ligi yao ni ya ridhaa?
Wakristo wa kule wanaishi kwa manyanyaso sn.Siyo kweli Zanzibar mi siyo mgeni kuna wakrtisto wengi sn kutoka bara wapo pale, kwanini na wao wasipewe haki hiyo?
Jamani tuache udini wengine tumechanganyika sana hatuwaelewiKwahiyo unataka kusema wakristo wako wengi huko Zanzibar kuwiana na waislamu?
Una uhakika Allah ndie aliongea hayo?Naona msio kua waislam mnaumizwa sana na kila kitu kinachofanywa na waislam hata kama haki waathiri kwa namna yeyote ile. Mfano mdogo tu ni kwamba Ligi imesimamishwa Zanzibar, wamesimamisha Wazanzibar wenyew, wapo huko Kwao Zanzibar na wewe upo kwenu popote ulipo nje ya Zanzibar kusimamisha kwao au kutokusimamisha hakukuathir ww hata kama usingekuepo huko Zanizbar, ila tu kwavile wamefanya kqa ajil ya kutekeleza ibada Ya Uislam basi nyinyi mnaumia sana na mnalalamika.
Poleni sana kwanza.
Lkn pia hili Allah alishalisema ktk Kitabu kitukufu.
Laa tardhwa ankal yahud wa nnasara hatta tattabia millatahum.
Hapana wala sio udini.Jamani tuache udini wengine tumechanganyika sana hatuwaelewi
Upo sahihi comradeWakristo wa kule wanaishi kwa manyanyaso sn.
Wazanzibar ni wadini snWakiristo haki zao wanapewa kule Beijing
Ligi nyingi duniani kukitokea jambo zinasimama halafu zina resume, wanakipiga kama kawaida, kwanini una hoji kwa zanzibar, au unaishi dunia ipi wewe?
Sasa siwapewe haki kama watu wengine?Kwaresma ni tofauti na ramadan mkuu, funga ya wakristo sio ya kujitangaza. Funga yako ni siri yako.
Hii kufananisha kwaresm na ramadan ni kutafuta ligi zisizo na msingi wowote..
Na wengi wanaoanzisha hizi vitu ni wakristo wasiofunga.
Si muungano? nyie wazanzibar ni wadini na wabaguzi sn hamfaiumewahi kusikia wapi kwenye nchi wageni kupewa haki kama hizo?