Zanzibar Ligi yasimama kupisha mfungo wa Ramadhan

Zanzibar Ligi yasimama kupisha mfungo wa Ramadhan

Kwanini wagalatia munateseka sana na waislamu? Dah Poleni sana
 
ZANZIBAR ASILIMIA 99.99 NI WAISLAMU..KUSIMAMISHWA LIGI NI MAAMUZI YAO ..WAKRISTO WANAOISHI ZANZIBAR WENGI WANATOKEA HUKU TANGANYIKA KWAIYO ACHENI WAAMUE WANAVYOTAKA
 
Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar (@zffzanzibar), Hashim Salum ametangaza kuwa Ligi Kuu ya Zanzibar itasimama kwa muda wa mwezi mmoja kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kuanzia ulioanza leo.
Ligi hiyo inatarajia kurejea Mei 6, 2023.

Chanzo: East Africa TV
Hii imeakaaje kibiashara? wadhamini wa ligi yao hawatapata airtime kwa mwezi 1, timu zitawalipa posho na mishahara wachezaji bila kufanya kazi? au ligi yao ni ya ridhaa?
 
Kwani mapumziko hayo yanawahusu nini waislamu wa huko walio wengi
Hilo ni tatizo.
Kwani huku bara hakuna wachezaji waislamu ? Mbona mapumziko hayo hakuna
Wabara nasi hatujakatazwa kupumzika
 
Hawa jamaa ni wadini sn, mbona Kwaresma haijasimama?
Kwaresma ni tofauti na ramadan mkuu, funga ya wakristo sio ya kujitangaza. Funga yako ni siri yako.

Hii kufananisha kwaresm na ramadan ni kutafuta ligi zisizo na msingi wowote..

Na wengi wanaoanzisha hizi vitu ni wakristo wasiofunga.
 
Em nambie mbona epl hamjawaita wadini kwa kuruhusu kusimama kwa mchezo ili kutoa nafasi kwa waliofunga ramadhan kufturu . Wakati hawakutoa nafasi hiyo kwa waliofunga kwaresma
Hawaielewi kwaresma hao, wanabwabwaja tu kuleta ligi
 
Kwahiyo unataka kusema wakristo wako wengi huko Zanzibar kuwiana na waislamu?

Siyo kweli Zanzibar mi siyo mgeni kuna wakrtisto wengi sn kutoka bara wapo pale, kwanini na wao wasipewe haki hiyo?
Wakiristo haki zao wanapewa kule Beijing
Hii imeakaaje kibiashara? wadhamini wa ligi yao hawatapata airtime kwa mwezi 1, timu zitawalipa posho na mishahara wachezaji bila kufanya kazi? au ligi yao ni ya ridhaa?
Ligi nyingi duniani kukitokea jambo zinasimama halafu zina resume, wanakipiga kama kawaida, kwanini una hoji kwa zanzibar, au unaishi dunia ipi wewe?
 
sidhani kama hili ni jambo la kuleta taharuki kiasi hiki, waislam siku ya ijumaa tunakwenda kwenye kazi bila kulalamika kuwa ni siku ya ibada kwetu. jambo la msingi tujifunze kuvumiliana na kujitahidi kutoanzisha mifarakano isiyo la lazima.
 
Wafunge kila kitu hadi kwenda kazini wafunge tujue kweli wanampenda mungu kiliko kazi
 
Naona msio kua waislam mnaumizwa sana na kila kitu kinachofanywa na waislam hata kama haki waathiri kwa namna yeyote ile. Mfano mdogo tu ni kwamba Ligi imesimamishwa Zanzibar, wamesimamisha Wazanzibar wenyew, wapo huko Kwao Zanzibar na wewe upo kwenu popote ulipo nje ya Zanzibar kusimamisha kwao au kutokusimamisha hakukuathir ww hata kama usingekuepo huko Zanizbar, ila tu kwavile wamefanya kqa ajil ya kutekeleza ibada Ya Uislam basi nyinyi mnaumia sana na mnalalamika.
Poleni sana kwanza.
Lkn pia hili Allah alishalisema ktk Kitabu kitukufu.
Laa tardhwa ankal yahud wa nnasara hatta tattabia millatahum.
Una uhakika Allah ndie aliongea hayo?
 
Kwaresma ni tofauti na ramadan mkuu, funga ya wakristo sio ya kujitangaza. Funga yako ni siri yako.

Hii kufananisha kwaresm na ramadan ni kutafuta ligi zisizo na msingi wowote..

Na wengi wanaoanzisha hizi vitu ni wakristo wasiofunga.
Sasa siwapewe haki kama watu wengine?
 
Back
Top Bottom