Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

You are very right! Uhai hauna spare!
 
Ila hapa napata ukakasi kwamba huenda kuna jambo limejificha.Chama cha ACT kujitoa kimbelembele kutangaza hili wakati huyu mtu ni makamu wa Rais ambaye yupo kwenye mamlaka za juu ambazo zingeweza kulisemea kwa uzito wake.Kuna jambo.
 
Ila hapa napata ukakasi kwamba huenda kuna jambo limejificha.Chama cha ACT kujitoa kimbelembele kutangaza hili wakati huyu mtu ni makamu wa Rais ambaye yupo kwenye mamlaka za juu ambazo zingeweza kulisemea kwa uzito wake.Kuna jambo.

Uwepo wa Seif ndani ya serikali hakutawaacha salama. Wayakumbuka haya?


Vita sasa mumo mumo, hongera bwana Hamadi,
Walidhani huna kimo, wakuchomeshe mahindi,
Itahitajika Omo, kuusafisha ushindi,
Ndani sasa yuko Sefu, pa kuficha pawe papya!

😂😂😂😂😂
 
Huu ni uchochezi wa wazi. Hawa watu hawajui Tanzania hamna Coeona🤯?
 
Chama cha ACT Wazalendo kimethibitsha kuwa kiongoz wake MAALIM SEIF SHARIF HAMAD ANA Corona...pamoja na wasaidizi wake wa jirani..CREDIT: eatv
Kwani wauaji tbccm wao wamesemaji
 
Malimao ya nini wakati Tanzania hakuna Corona?

Corona haipo. Corona ilikwisha. Aah aah ipo kidogo tu.

Kwamba ACT wametangaza, pana mijamaa ya chama fulani itakuwa imeumia kweri kweri.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Upo sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…