chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,884
Usibabaike na jina,Casticos ni Wazanzibari halisi Kama akina Agostinos..Nafurahi kumwona 'mzanzibara' mwingine akijitosa.
Mzanzibara alikuwa Ali Hassan Mwinyi na Aboud Jumbe Mwinyi..
Au Udini ndio unakufanya uone kuwa kuwa Casticos ni Mzanzibara,kumbuka kuwa ukristo ulianzia Zanzibar kabla ya kufika Tanganyika