Sisi akina nani? Mdhambi ni wewe tu, hacha ujumuishi mkuuHuwa nashangaa sanaaa, wakati ni wadhambi tu kama sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi akina nani? Mdhambi ni wewe tu, hacha ujumuishi mkuuHuwa nashangaa sanaaa, wakati ni wadhambi tu kama sisi
mtu yeyote anaesema hadharan hiki kitu ni kibayaMaadili gani mzee? Huwajui tu.
nchi kama iraq, Afghanistan,iran, Pakistan, qatar n.k ukileta pigo za kiwaki wanakuondosha mapemaMaadili gani wanayo hao? Labda ya kuvaa manguo marefu tu.
Nje ya hapo, ni wachafu. Ni mafirauni wakubwa. No watesi na wabaguzi wa rangi pia.
Wanadai Bongo fleva inapeleka mambo machafu Zanzibar.Moja ya wageni walioudhuria Jukwaa la 13 la Biashara Zanzibar ameshauri Serikali ya Zanzibar kuzuia kupigwa kwa baadhi ya Nyimbo za bongo fleva zinazovunja maadaili ya Watu wa Zanzibar.
View: https://m.youtube.com/watch?v=tYARL6qyS5k
Hizi nchi zenyewe za kiwaki tu.mtu yeyote anaesema hadharan hiki kitu ni kibaya
nchi kama iraq, Afghanistan,iran, Pakistan, qatar n.k ukileta pigo za kiwaki wanakuondosha mapema
Bongo fleva kwa sasa imejaa matusi na video zake ni wanawake kuwa uchi, zinaharibu kizazi kijachoSheikh ajue kuendesha nchi sio sawa na kuendesha Msikiti.
Kuna mambo ukiwa kama raisi itakulazimu kuyatekeleza au kutotekeleza hata kama yanapingana na maadili ya dini.
Hususan pale unapo set sheria zinazoenda kuwalenga watalii.
Ni kweli. Tulia uzee wote ule anacheza "chomoa, chomeka"Wanajielewa hawa watu sio huku mpaka Tulia anacheza Nyege nyegesi.
Hapa mtagombana na ChoiceVariable na chiembeNi kweli. Tulia uzee wote ule anacheza "chomoa, chomeka"
Huo huo utalii utawafikisha mbali na kuuza spicesUnadhani wanaweza kujitawala bila bara? Ukichilia mbali utalii, Zanzibar wana biashara gani nyingine ambayo inaweza kuendesha serikali? Yaani biashara ya ufuska itahalalishwa; bar zitakua nyingi tu, hadi kitimoto kitauzwa. Dubai pakoje? Sasa hvi wanaweza kusema hivo cause hata KODI hawalipi, tunawalea, tunawasomeshea hadi watoto wao. Pekee yao hawana uwezo wa kua na bungee lenye wabunge wengi vile or makamu wa rais 2, hawana hiyo jeuri
Ni vazi la dini tu linawafanya wawe hivyo Ila kiuhalisia unaweza kuta wana vitu vizito kuliko hata wabaraHuwa nashangaa sanaaa, wakati ni wadhambi tu kama sisi
Wanadai Bongo fleva inapeleka mambo machafu Zanzibar.
Moja ya wageni walioudhuria Jukwaa la 13 la Biashara Zanzibar ameshauri Serikali ya Zanzibar kuzuia kupigwa kwa baadhi ya Nyimbo za bongo fleva zinazovunja maadaili ya Watu wa Zanzibar.
Soma Pia:
Kinashindikana nini sasa hivi kuufanya hivo?Huo huo utalii utawafikisha mbali na kuuza spices
Sasa Zuchu itakuwajeWanadai Bongo fleva inapeleka mambo machafu Zanzibar.
Moja ya wageni walioudhuria Jukwaa la 13 la Biashara Zanzibar ameshauri Serikali ya Zanzibar kuzuia kupigwa kwa baadhi ya Nyimbo za bongo fleva zinazovunja maadaili ya Watu wa Zanzibar.
Soma Pia:
Pengine ni mambo ya muunganoKinashindikana nini sasa hivi kuufanya hivo?