Zan one
Member
- May 9, 2021
- 72
- 26
Hhhhh tena waliokubuhuwaliokubuhu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhhh tena waliokubuhuwaliokubuhu
Hebu jitikise kidogo nadhan utagundua km upo kwenye ndotoNilitarajia mwendazake angefanya yake Kura maoni Kisha tukawa nchi moja.
Yohanambatizaji mbona tuliwahi kuambiwa ya kwamba wao ni 'Waungwana" sana na hawapendi dhuluma!?Kumbe hata waunguja ni mafisadi!
Yohanambatizaji mbona tuliwahi kuambiwa ya kwamba wao ni 'Waungwana" sana na hawapendi dhuluma!?
Nyumbu wa Ufipa wapo tayari kuwaweka rehani wazazi wao kukuthibitishia kwamba Mama ni mtu muungwana sana na asiyependa dhuluma kwasababu tu 'atokea huko' hata kama ni CCM! Na watakuja sasa hivi kumtetea!Mkuu si kwa CCM, CCM hata atoke wapi tabia ndio hizo hizo tu
Kumbe hata waunguja ni mafisadi!
CCM Zanzibar walichoifanya ni zaidi ya kufuru.... Hela zilizoibiwa huku ni hatari mno. Mwinyi kakabidhiwa serikali akaunti inasoma zero 😀Kumbe hata waunguja ni mafisadi!
wanafiki waleYohanambatizaji mbona tuliwahi kuambiwa ya kwamba wao ni 'Waungwana" sana na hawapendi dhuluma!?
mzee umesahau kama wote ni maCCMKumbe hata waunguja ni mafisadi!