Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
MSICHANA WA KAZI KABAKWA NA MZEE WA MIAKA 74 AMBAYE NI BOSS WAKE MKAZI WA BUBU, ZANZIBAR, POLISI WADAIWA KUPOTEZA KESI!
Mheshimiwa Rais Hussein Mwinyi aombwa Kuingilia kati sheria ifuate mkondo
Bubu, Zanzibar.
Mzee Sadalla Juma Sadalla mwenye umri wa miaka 74 mkazi wa Bubu, Zanzibar anakabiliwa na kosa la kumbaka msichana wake wa kazi ambaye yupo chini ya umri wa miaka 18 na kumuingilia kimapenzi kwwa nguvu, msichana huyo ambaye jina linaifadhiwa alifanikiwa kutoa riport kituo cha Polisi Bubu.
Lakini hadi leo polisi wanajaribu kuipotezea mbali kesi hiyo na Mtuhumiwa Bw. Sadalla Juma Sadalla amechiwa bila kufikishwa mahakamani.
Juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar za kukomesha unyanyasaji wa kijinsi na ubakaji viisiwani hapa zinagonga mwamba kutokana na wenye tabia za ubakaji kama Bw. Sadalla Juma Sadalla kutopelekwa mahakamani na sheria ikachukua mkondo wake.
Wanaharakati wa kuzuwia vitendo vya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia visiwani Zanzibar wanakilalamikia kituo cha Polisi Bubu kwa kumwachia huru mbakaji Sadalla Juma Sadalla.
Wamemuomba Mheshiwa Rais Hussein Alli Mwinyi kuingilia kati kesi hii ya ubakaji hili sheria ifuate mkondo wake, wanaharakati hao wamemtaja mtuhumiwa Bwana Sadallla Juma Sadallla kuwa ni mtu aliyetajwa mara nyingi katika matukio ya kuwangilia kwa nguvu au kuwabaka watoto wenye umri mdogo na matukio hayo anayafanya hapa Unguja na Dar es salaam.
Vyombo vya ulinzi na usalama vinaombwa kuhakikisha Bw.Sadalla Juma Sadalla anafikishwa mbele ya sheria na hasipewe nafasi ya kukimbia Zanzibar.
Mheshimiwa Rais Hussein Mwinyi aombwa Kuingilia kati sheria ifuate mkondo
Bubu, Zanzibar.
Mzee Sadalla Juma Sadalla mwenye umri wa miaka 74 mkazi wa Bubu, Zanzibar anakabiliwa na kosa la kumbaka msichana wake wa kazi ambaye yupo chini ya umri wa miaka 18 na kumuingilia kimapenzi kwwa nguvu, msichana huyo ambaye jina linaifadhiwa alifanikiwa kutoa riport kituo cha Polisi Bubu.
Lakini hadi leo polisi wanajaribu kuipotezea mbali kesi hiyo na Mtuhumiwa Bw. Sadalla Juma Sadalla amechiwa bila kufikishwa mahakamani.
Juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar za kukomesha unyanyasaji wa kijinsi na ubakaji viisiwani hapa zinagonga mwamba kutokana na wenye tabia za ubakaji kama Bw. Sadalla Juma Sadalla kutopelekwa mahakamani na sheria ikachukua mkondo wake.
Wanaharakati wa kuzuwia vitendo vya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia visiwani Zanzibar wanakilalamikia kituo cha Polisi Bubu kwa kumwachia huru mbakaji Sadalla Juma Sadalla.
Wamemuomba Mheshiwa Rais Hussein Alli Mwinyi kuingilia kati kesi hii ya ubakaji hili sheria ifuate mkondo wake, wanaharakati hao wamemtaja mtuhumiwa Bwana Sadallla Juma Sadallla kuwa ni mtu aliyetajwa mara nyingi katika matukio ya kuwangilia kwa nguvu au kuwabaka watoto wenye umri mdogo na matukio hayo anayafanya hapa Unguja na Dar es salaam.
Vyombo vya ulinzi na usalama vinaombwa kuhakikisha Bw.Sadalla Juma Sadalla anafikishwa mbele ya sheria na hasipewe nafasi ya kukimbia Zanzibar.