Zanzibar Mwekezaji wa Bandari kapewa miaka 5 tu na watareview mkataba, Bara kajifunzeni hata huko

Zanzibar Mwekezaji wa Bandari kapewa miaka 5 tu na watareview mkataba, Bara kajifunzeni hata huko

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Inaumiza sana,

Mwekezaji wa kuendesha bandari ya Zanzibar kapewa miaka mitano tu ya kuendesha bandari.

Mwekezaji huyo kutoka ufaransa ataendesha bandari kwa miaka mitano tu na mkataba utaangaliwa upya kama kafikia malengo ataongezewa muda na kama hajafikia malengo atapewa mwekezaji mwingine upya,
Tanganyika au Tanzania Bara wameshindwa nini kwenda kujifunza kwenye mikataba ya kitaalamu hata hapo Zanzibar?

Tuwaombe sasa mkajifunze ni namna gani Zanzibar kama nchi wameweza kuingia mikataba mizuri tena ya kueleweka kuliko ninyi ambao inaonekana hamuelewi kitu chochote.

Kajifunzeni nchi ya Zanzibar inafanyaje mikataba yenye tija na mizuri sana.
 
Wanataka kuvunja muungano na wameona hii ndiyo njia pekee ya Tanganyika kuanzisha mchakato wa kuuvunja mchakato. Wako sahihi. Tuuvunje.
 
Inaumiza sana .
Mwekezaji wa kuendesha bandari ya Zanzibar kapewa miaka mitano tu ya kuendesha bandari,
Mwekezaji huyo kutoka ufaransa ataendesha bandari kwa miaka mitano tu na mkataba utaangaliwa upya kama kafikia malengo ataongezewa muda na kama hajafikia malengo atapewa mwekezaji mwingine upya,
Tanganyika au Tanzania Bara wameshindwa nini kwenda kujifunza kwenye mikataba ya kitaalamu hata hapo Zanzibar?
Tuwaombe sasa mkajifunze ni namna gani Zanzibar kama nchi wameweza kuingia mikataba mizuri tena ya kueleweka kuliko ninyi ambao inaonekana hamuelewi kitu chochote,
Kajifunzeni nchi ya Zanzibar inafanyaje mikataba yenye tija na mizuri sana ,
Nia ya Wazanzibar tushaijua, bora tugawane mbao mapema tu na kufufua Tanganyika yetu.
 
Wanataka kuvunja muungano na wameona hii ndiyo njia pekee ya Tanganyika kuanzisha mchakato wa kuuvunja mchakato. Wako
Jopo kubwa la wataalamu linalomuongoza raisi samia ni watanganyika wa asili.

Nasema uongo Numbisa
🗣️🗣️🗣️
 
😂😂😂Saiv za ndani ndani zinasema kajaza wazenji wa kutosha,hao watanganyika ni wale chawa
Ongezea na mende,
Nyie ni wapigaji na mwaka huu mushaingia kwenye mikono ya wajenga misikiti
 
Nimejikuta nakumbuka humu JF kuna binti alihadithia story ya wazungu wa beach,jinsi alivyomchambua mzungu wa watu balaa😂😂😂😂. Labda wangekuwepo wakorea ningeinjoi soju na ramyeon
Hatupokei wabahili na wajuaji
 
Back
Top Bottom