GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Nmeingia zanzibara alasiri hii naomba sana wadada wa huku tuwasiliane.ili nipate mwenyeji anitembeze maeneo mbalimbali.
Kuna maeneo nayasikia tu ila sasa nataka niyafikie na pia kuona watu wake wakoje. Sehemu inayoitwa MAKUNDUCHI na kwa MCHAMBAWIMA.
Ningependa nionane na wadada wanaotoka maeneo hayo ili wanipe historia ya majina hayo na pia niwaone wanaoishi mchamba wima wanawezaje fanya hivyo.mi huwa naona ni ngumu sana.
Wa makundu uchi nao...siwapatii picha.huwa tu najiuliza why nao wameamua wote kuishi namna hiyo.nashindwa kwenda hili eneo maana sijui kwa mimi mgeni pia ninalazimika kuwa hivyo?yaani kundu uchi.kitu ambacho sitoweza bora niishie mitaa mingine mingine tu.
Wadada naombeni tuwasiliane kwa ajili ya kupatiwa mwenyeji zanzibar.na msijali.nimekuja na kanzu,bargashia na bila kusahau "Bakora" ipo standby kabisa.
Kuna maeneo nayasikia tu ila sasa nataka niyafikie na pia kuona watu wake wakoje. Sehemu inayoitwa MAKUNDUCHI na kwa MCHAMBAWIMA.
Ningependa nionane na wadada wanaotoka maeneo hayo ili wanipe historia ya majina hayo na pia niwaone wanaoishi mchamba wima wanawezaje fanya hivyo.mi huwa naona ni ngumu sana.
Wa makundu uchi nao...siwapatii picha.huwa tu najiuliza why nao wameamua wote kuishi namna hiyo.nashindwa kwenda hili eneo maana sijui kwa mimi mgeni pia ninalazimika kuwa hivyo?yaani kundu uchi.kitu ambacho sitoweza bora niishie mitaa mingine mingine tu.
Wadada naombeni tuwasiliane kwa ajili ya kupatiwa mwenyeji zanzibar.na msijali.nimekuja na kanzu,bargashia na bila kusahau "Bakora" ipo standby kabisa.