johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unapoizungumzia Zanzibar usiangalie udogo wake kijiografia au idadi ya watu bali tazama maarifa waliyo nayo vichwani mwao.
Tanganyika ni kubwa na ina raia wengi lakini ndiko walikojazana walugaluga, washamba wa madaraka na vinara wa ufisadi wa rasilimali za nchi.
Hata hivyo Mungu ni mwema kila inapotokea hali ngumu ya kiuchumi na kimaisha basi hututeulia Mzanzibari kutuongoza ili tuvuke salama.
Mfano mdogo tu wa maarifa ya wazanzibar ni nchi yao kuwa na serikali ya Umoja wa kitaifa kwa mujibu wa katiba lakini huku bara kwenye watu wengi bunge lina " Wanawake " 19 ndani ya bunge ambao siyo wanachama wa chama chochote cha siasa. Sasa huu kama siyo ulugaluga na ushamba tuuiteje?
Ramadhan kareem!
Kazi Iendelee.
Tanganyika ni kubwa na ina raia wengi lakini ndiko walikojazana walugaluga, washamba wa madaraka na vinara wa ufisadi wa rasilimali za nchi.
Hata hivyo Mungu ni mwema kila inapotokea hali ngumu ya kiuchumi na kimaisha basi hututeulia Mzanzibari kutuongoza ili tuvuke salama.
Mfano mdogo tu wa maarifa ya wazanzibar ni nchi yao kuwa na serikali ya Umoja wa kitaifa kwa mujibu wa katiba lakini huku bara kwenye watu wengi bunge lina " Wanawake " 19 ndani ya bunge ambao siyo wanachama wa chama chochote cha siasa. Sasa huu kama siyo ulugaluga na ushamba tuuiteje?
Ramadhan kareem!
Kazi Iendelee.