Zanzibar ni nchi ndogo yenye "akili" kubwa

Zanzibar ni nchi ndogo yenye "akili" kubwa

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Namba hazidanganyi!

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2022, Zanzibar ina ukubwa wa kilomita za mraba 2,460 na watu 1,889,773. Imeuzidi mkoa mmoja tu wa Tanganyika, Dar Es Salaam!

Dar Es Salaam ina ukubwa wa kilomita za mraba 1,393. Hata hivyo, inaizidi Zanzibar kwa idadi ya watu. Kwa mwaka 2022, Dar Es Salaam ilikuwa na watu 5,383,728.

Pamoja na Zanzibar kuwa ndogo kieneo na kiidadi ya watu, imejithibitisha kuwa si ndogo kiakili! Imeweza kuitawala nchi kubwa iitwayo Tanganyika.

Wanaofikiri Zanzibar ni koloni la Tanganyika wanajidanfanya! Ukweli ni kwamba Tanganyika ndiyo koloni la Zanzibar.

Nimeisikiliza clip ya mwanasiasa mmoja akiilinganisha Zanzibar na Tanga. Kwamba, pamoja na kwamba Tanga ni kubwa kuliko Zanzibar, ina wabunge 12 tu huku Zanzibar ikiwa na wabunge 80. Mkoa wa Tanga una kilomita za mraba 26,677 na watu 2,615,597(kwa mwaka 2022).

Kwa kuwa Mzanzibar anaweza kuitawala Tanganyika lakini Mtanganyika akiwa Zanzibar ni mgeni, na kwa kuwa Mzanzibar ana haki ya kujisikia yupo nyumbani akiwa Zanzibar na Tanganyika tofauti na Mtanganyika ambaye Tanganyika pekee ndiyo kwao, na kwa kuwa Zanzibar inajitawala na kuitawala Tanganyika, ni dhahiri shayiri kuwa imeizidi Tanganyika kiakili. Ni ndogo kieneo lakini ni kubwa kiakili!

Acheni Wazanzibar wapewe maua yao!
 
Namba hazidanganyi!

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2022, Zanzibar ina ukubwa wa kilomita za mraba 2,460 na watu 1,889,773. Imeuzidi mkoa mmoja tu wa Tanganyika, Dar Es Salaam!

Dar Es Salaam ina ukubwa wa kilomita za mraba 1,393. Hata hivyo, inaizidi Zanzibar kwa idadi ya watu. Kwa mwaka 2022, Dar Es Salaam ilikuwa na watu 5,383,728.

Pamoja na Zanzibar kuwa ndogo kieneo na kiidadi ya watu, imejithibitisha kuwa si ndogo kiakili! Imeweza kuitawala nchi kubwa iitwayo Tanganyika.

Wanaofikiri Zanzibar ni koloni la Tanganyika wanajidanfanya! Ukweli ni kwamba Tanganyika ndiyo koloni la Zanzibar.

Nimeisikiliza clip ya mwanasiasa mmoja akiilinganisha Zanzibar na Tanga. Kwamba, pamoja na kwamba Tanga ni kubwa kuliko Zanzibar, ina wabunge 12 tu huku Zanzibar ikiwa na wabunge 80. Mkoa wa Tanga una kilomita za mraba 26,677 na watu 2,615,597(kwa mwaka 2022).

Kwa kuwa Mzanzibar anaweza kuitawala Tanganyika lakini Mtanganyika akiwa Zanzibar ni mgeni, na kwa kuwa Mzanzibar ana haki ya kujisikia yupo nyumbani akiwa Zanzibar na Tanganyika tofauti na Mtanganyika ambaye Tanganyika pekee ndiyo kwao, na kwa kuwa Zanzibar inajitawala na kuitawala Tanganyika, ni dhahiri shayiri kuwa imeizidi Tanganyika kiakili. Ni ndogo kieneo lakini ni kubwa kiakili!

Acheni Wazanzibar wapewe maua yao!
Majanga yote haya uliyoelezea yametokana na Utawala mbaya uliopo katikà nchi hii, ni majanga ya kutengenezwa na chama tawala kilichopo
 
Namba hazidanganyi!

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2022, Zanzibar ina ukubwa wa kilomita za mraba 2,460 na watu 1,889,773. Imeuzidi mkoa mmoja tu wa Tanganyika, Dar Es Salaam!

Dar Es Salaam ina ukubwa wa kilomita za mraba 1,393. Hata hivyo, inaizidi Zanzibar kwa idadi ya watu. Kwa mwaka 2022, Dar Es Salaam ilikuwa na watu 5,383,728.

Pamoja na Zanzibar kuwa ndogo kieneo na kiidadi ya watu, imejithibitisha kuwa si ndogo kiakili! Imeweza kuitawala nchi kubwa iitwayo Tanganyika.

Wanaofikiri Zanzibar ni koloni la Tanganyika wanajidanfanya! Ukweli ni kwamba Tanganyika ndiyo koloni la Zanzibar.

Nimeisikiliza clip ya mwanasiasa mmoja akiilinganisha Zanzibar na Tanga. Kwamba, pamoja na kwamba Tanga ni kubwa kuliko Zanzibar, ina wabunge 12 tu huku Zanzibar ikiwa na wabunge 80. Mkoa wa Tanga una kilomita za mraba 26,677 na watu 2,615,597(kwa mwaka 2022).

Kwa kuwa Mzanzibar anaweza kuitawala Tanganyika lakini Mtanganyika akiwa Zanzibar ni mgeni, na kwa kuwa Mzanzibar ana haki ya kujisikia yupo nyumbani akiwa Zanzibar na Tanganyika tofauti na Mtanganyika ambaye Tanganyika pekee ndiyo kwao, na kwa kuwa Zanzibar inajitawala na kuitawala Tanganyika, ni dhahiri shayiri kuwa imeizidi Tanganyika kiakili. Ni ndogo kieneo lakini ni kubwa kiakili!

Acheni Wazanzibar wapewe maua yao!
Umejitahidi sana mkuu 'GoldDhahabu', kudadavua kisayansi na takwimu kedekede. Umelitendea haki jina lako.

Mimi ninge badili tu hapo kwenye "...Akili Kubwa..." kwenye kichwa cha mada, basi, mengine yote nakubaliana na wewe.

Sasa, kwa vile nyakati hizi ukoloni haukubaliki popote duniani, ni haki ya Tanganyika kutafuta uhuru wake; na hili halina mjdala tena, siyo 'ukiziwi wa chura' au kitu gani kitazuia uhuru huo kupatikana.
 
Majanga yote haya uliyoelezea yametokana na Utawala mbaya uliopo katikà nchi hii, ni majanga ya kutengenezwa na chama tawala kilichopo
Hivi waswahili husemaje vile, kwamba: Hakuna baya lisilokuwa..., hata sijui msemo huu kuuweka vizuri. CCM imetoa mwanya mzuri wa kutuondoa kwenye ukoloni. Na haitakuja kutokea tena hali hii kurudi tena.
 
Zanzibar IPO mbali Sana kimaendeleo

Maadili ya dini yanawabeba Sana
 
Mende wejaa Zanzibar...
Nimetafakari lakini bado sijapata jibu!

Mende ni nini? Ni Watanganyika?

Sina uhakika kama unamaanisha Watanganyika, lakini kama ndivyo, utakuwa umekosea sana. Utawachochea Watanganyika wawaite Wazanzibar majina mabaya kama kupewa, kunguni, n.k., jambo ambalo halitaleta taswira nzuri katika Muungano.
 
Back
Top Bottom