Watu wanaropoka sana kwamba eti wao wamepoteza utaifa wao wa Tanganyika ila hawakupiga kelele wanahoji kwanini sisi hatutaki kuwa na serikali moja tu ya JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA
JIBU NI
Zanzibar tumepata Uhuru kwa kumwaga damu (mapinduzi) sio wao wamepata Uhuru kwa karatasi
JIBU NI
Zanzibar tumepata Uhuru kwa kumwaga damu (mapinduzi) sio wao wamepata Uhuru kwa karatasi