si mpaka aseme udini haufai! Atawaita majambzi wahuni wenye maslai yao! JK kapandikiza mbegu sa hivi anapaliliaWhat a sad day; Mungu atusaidie. Na bado atasimama JK na kutoa hotuba yake ya "jamani udini haufai, haijawahi kutokea katika historia yetu".. Maskini Kikwete..
Them Islams can do anything in the name of religion. Upole wa waKristo itakula kwao mkidhani hawa jamaa siku wataacha kisa hamlipizi basi endeleeni kusubiri hadi muishe, wao nia yao nikuwamaliza wote. Hata kwa nchi za kiislamu fully hawaelewani wao wenyewe kama huko Malí, Iraq, syria n.k
Mbona unaongea pumba Ally Kombo ?Kanisa na Necta !
Mnajua nini nyie makafiri,amtutishi na lolote.sisi tunacho amini kinanguvu saanaa! Nyie semeni yote lakini laiti ndo nyie makafiri tungekua jengo moja waallai vile ningejilipua mnipe tiketi safi yakwenda kumuona Molla wangu
Ndugu zetu waislam
Ndugu zetu Uamsho
Uvumilivu sasa unafikia kikomo
tukana hadi uchoke ila mwisho wa yote padri kashaded, wanavyouawa masheikh kenya hamsikii mnasikia ya padri tu
We unadhani nani?
Binafsi naona kuna kasoro kwenye matamshi hayo kwa vile sioni kama kushambuliwa kanisa kule zanzibar ni kwa kuwa limesimama sana na kuwa tishio bali ninachokiona hapa ni njaa tu za watu wachache ambao wameshindwa kuongoza na kujikita kwenye kuibia nchi ambao wanataka tu kuondoa attention ya umma kwenye matatizo ya msingi ili waelekeze akili yao katika mifarakano ya wao kwa wao wakati wakiendelea kutafunwa. Hizo ni mbinu tu za ujasusi wa kisiasa; mara gesi ya mtwara, mara kuchinja, nk. yooote haya ni mambinu watu waendelee kubunya nchi wakati mnapigiana kelele na kupigana mapanga.
Kama polisi wana akili za kipelelezi wewe ungekuwa mtu wa kwanza kuisaidi polisi. Maana hapa umekuja na poroja zenye lengo wa ku-cover up uharamia uliofanywa na Al-Uamsho.watanganyika musijaribu kupoteza malengo ya wazanzibar juu ya katiba mpya ya kudai nchi yao kwa kisingizio vya wakristu wanao pigwa risasi
kwa karibuni watu waliopigwa risasi ni wengi sana zanzibar bahamadi mfanya biashara maarufu alipigwa risasi, suleiman naye alipigwa risasi
kuna mgeni kutoka nchi za asia alipigwa risasi baada ya siku tatu tangu kutokea tukio la father ambrose kule mazizini
wakati wa ramadhani watu wawili walipigwa risasi na baadae kupigwa father ambrose
katiwa acid shekhe fathil sauraga na katekwa shekhe faridi
sasa haya matukio ni idadi kubwa ya waliofanyiwa ni waisilamu je tuseme wameyafanya wakristu
hapa ni kutafutwa nani anamiliki silaha na nani anafanya uhalifu huu ikiwa tukisema kwa kufurahisha nafsi zetu basi itakuwa tukitatuwa matatizo mazito ya jamii kwa wepesi kama serekali ya kimagamba
Ni wapi tulikotoka - Nyerere, Amani ilitawala, utanzania uliwekwa mbele kwa maana ya sisi sote tuliitana ndugu.
Wapi tulipo - Kikwete, Amani imetoweka, utanzania umepotea na utambulisho wa dini zetu kutukuzwa. Mfano Anaegombea ubunge ni dini gani? anaeimba jukwaani ni dini gani? mbona huyu amekuja hapa si wa din yetu?
Tunakoelekea - Asipewe uwanja huku huyu, si kwa watu wa dini hii, huyu si dini flani achinjwe - anachinjwa.
Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya Mtembezi rais mfia dini wala majukumu yake hayajuwi, Mwinyi hakuwa mfia dini.
Tumefika hapa tulipofika baada ya kuwaacha wachochezi kama Ilunga na mohamedi Said kutawanya Sum kwa hofu ya wanasiasa kupoteza madaraka, wamefanikiwa kutuchonganisha watanzania kwa hoja rahisi na za kipuuzi kabisa sasa kidonda kimepata mkunaji na mkunaji huyu ni mtanzania aliyenyimwa elimu ili atumike kama daraja kwa ccm kuendelea kubaki madarakani
Unakuwaje na Mkuu wa polisi kama Said Mwema ambaye anawaacha watu wanaoelekeza vijana kuchinja watu hadharani? Huyu ni alkaeda aliyevaa ngozi ya utanzania roho yake ni ya msingi wa kidini na malengo kama yale ya Alshababu.
Kikwete na Said mwema Wanamalengo maalumu na mkakati maalum, kwanini Ilunga hajakamatwa?
Hapo sasa tunaenda sawa manake kuna Shehe alimwagiwa Tindi Kali lakini maswala ya udini hayakuzungumziwa ila padri ameuwawa watu wanazungumzia udini.Poor thinking
si mpaka aseme udini haufai! Atawaita majambzi wahuni wenye maslai yao! JK kapandikiza mbegu sa hivi anapalilia