Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Ya... wameelekezwa vizuri kwenye dakika ya 14 - 20 kwenye hii video ya IGP wao...



Hongera Ustaadh Ilunga. Mafunzo yako yanafanya kazi...


Hii nchi bwana, mwinjilisti majuzi alikamatwa kule mbeya kwa kuwaonyesha wakristo video ya Ilunga eti anafanya uchochezi.

Ebu jiulize anayeangalia na yule aliyesema maneno yale kisa akaisambaza video ile na inaendelea kuuzwa nani mwenye kosa.
 
Last edited by a moderator:
wakristo ni mang'ombe tu nawashauri waislamu waendelee kuuwa mapadri na wachungaji mpaka mtakapopata akili na kujuwa hii ni war against crusaders inayoratibiwa kwa umahili na mkwele.

.....utumwa wa fikra ni mtaji wa watawala..
 
Clipu ya kuhamasisha ipo mtandaoni na kwenye kila msikikiti nje,.

Au padre alikua na mamilioni akipeleka kanisani?
 
What a sad day; Mungu atusaidie. Na bado atasimama JK na kutoa hotuba yake ya "jamani udini haufai, haijawahi kutokea katika historia yetu".. Maskini Kikwete..
Mpaka mwisho wa mwezi ndio ataitoa ya kulaani tu kitendo hicho!
 
I am confused kwakweli. Sijui niwachukie ama niwavumilie...

1. Wavumilie huku ukijihami usiingie mtegoni. Vita ya kidin ni zaidi ya sunami wapo pembeni alshababu, alkaeda nk wanangojea tu mjitie kitanzi kwa kulipiza-Mogadishu na maiduguri imhamie tanzania.

2. Tunaweza kuwashinikiza waheshimiwa wabunge wakalijadili hili kwa undani ikibidi waziri mkuu na wa mambo ya ndani wajiuzuru kwa kushindwa kuisimamia amani ambayo ni haki ya kila mtanzania.

3. Tunapaswa kuingia ndani zaidi kuutafuta undani wa magaidi kama Mohamedi Said, Hassani Ilunga, Baselahe na wengineo. Kwasababu hawa jamaa wanatumia umaskini wa watanzania na kukosasa elimu bora kwa vijana wengi kupandikiza chuki. Nakuambia hawa vurugu zikianza watakimbia kama osama na kuhama hama wakituacha tukichinjana kwasababu hatuna pakwenda. Sisi walalahoi kwetu ni Tanzania - Kigamboni, mwanakwerekwe, wawi, kojani, magomeni igalula, goweko kasulu, chunya nk.

Ni matunda ya utawala mbovu wa kikwete na sera za ccm katika mkakati wakutuyumbisha watanzania kupitia udini.
 
Naamini kabisa watawala wetu wanafahamu kinachoendelea lakini HAWAFANYI KITU!!! Sidhani kama watakamatwa waliotenda haya mauaji.

We unafahamu knachoendea! kama unakifaham tuelimishe
 
Hawa Waislam wengi wana akili finyu sana na wanajua Wakristo tunaishi kistaarabu.Ata ivo Zanzibar kutokana na sensa kuna watu Milioni 1.4 Bara kuna Milion 43.Kuna haja ya Muungano akati wenyewe wavivu na wataalamu wa kulalamika?CDM ichukue nchi,tupilia mbali mawazo ya Muungano wa bara tunategemea wawe wastaarabu au wamfuate ponda lupango...........Mungu ampumzishe kwa amani Mtumishi wake Padri Mushi.
 
Acha ujinga, hapa ni Tanzania hayo ya Kenya yanatuhusu NINI? Au wewe ni Mkenya????????

mimi na wewe nani anaandka ujinga? sisi waislamu ni ndugu dunia nzima ndomaana hata alivyouawa osama niliuzunika.
 
kule Zanzibar mpaka auwawe Waziri,ndio serikali itazinduka,uvumilivu kwangu unaanza kunishinda!!!
 
Padre kuuawa ni fedheha, pengo, farid kutiwa ndani je bila ya dhamana ambayo ni haki zao?
 
Kampeni zilikua zinapigwa misikitini, Wakristu wao wanaogopa kuongelea siasa kanisani, haya ndio matokeo yake.
 
jamani kunataarifa zisizo rasmii kwamba kunapadri evarist mushi amepigwa risasi mwenye taarifa kamili atupatie tafadhali
 
Hii nchi bwana, mwinjilisti majuzi alikamatwa kule mbeya kwa kuwaonyesha wakristo video ya Ilunga eti anafanya uchochezi.

Ebu jiulize anayeangalia na yule aliyesema maneno yale kisa akaisambaza video ile na inaendelea kuuzwa nani mwenye kosa.


Wakrtisto hawatakiwi wajue kile kinachopangwa juu yao...
 
Polisi waende mbali zaidi, walianza na kumpiga risasi padre Kimaro, leo Padre Mushi kulikoni?

Sheikh Ponda naye yu gerezani, mapadri wakiuawa, TUNA TATIZO KUBWA LA KIDINI NCHINI.
Japo mie ni muislam, ila kwa kweli tumefikishwa pabaya. Innalillah wainailaih rajiuun kwa mauaji katili ya kiongozi wa dini.
Nalaani kitendo hiki ndani ya nafsi yangu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom