Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Nyamaza we kima; hujui madhila tunayopata kwenye kisiwa hiki..uhuru wa kuabudu ni next to null and it has become worse recently-----haya mambo yanajulikana
mkuu uyu chama ni mbwiga na bonge la chichman.,ta,ka,ke,ki,ko mkubwa,ana-comment za kifamba sana as if kilichotekea ni normal issue..,hawa ndo vinara wa mauji...
 
hizo koment hapa za udini nakufurahia mtu kuuwawa kikatili kweli nimesikitika sana.
 
Kwani Adolf Hitler na Benito Mussolini walilkuwa Mapadri au Wachungaji? Mimi nimekuuliza SHEKHE HASSAN Ilunga ni dini gani? hapo kwenye red ndio inatofautisha kati ya Adolf Hitler , Benito Mussolini na HASSAN Ilunga

Vipi mauaji ya Rwanda yaliotokea Kanisani wachungaji walivyokuwa wanawakusanya watu kisha kuwaita wenzao na kuanza kuwachinja.
 
Vipi mauaji ya Rwanda yaliotokea Kanisani wachungaji walivyokuwa wanawakusanya watu kisha kuwaita wenzao na kuanza kuwachinja.
Vipi walikuwa wanasambaza DVD za kuuwa mapadri na Wachungaji kama Gaidi lenu SHEHE Hassan Ilunga? kama DVD zao zipo tuambie zinapatika wapi
 
Tatizo liko hapa: Unamjua wa kumpitishia hukumu au utalipa kisasi kwa muislamu yoyote? Kama ni kwa yeyote, utakuwa na tofauti gani na hao waliompiga risasi mchungaji?

soma post zangu zilizopita.nimejieleza vizuri tu.nilisema wakristo tukae chini(tutulie),tufuatilie,tuchunguze huku tukiwa wamoja na kujua tatizo la mlolongo wa matukio dhidi yetu yanakotokea.tukishamjua adui tuhangaike nae perpendicular na kwa nguvu kubwa.na ktk hoja hii tuweke ktk mizani kila kitu,waislam,serikali,sie wenyewe,watu binafsi na kila mtu.tusiache clue yoyote.sasa tukishamjua tuhangaike nae.tusimuache wala tusiishie kupiga kelele na ktk hili tusiitegemee serikali maana na yenyewe ni suspect.hapo juu nimesema tutaanzia madhabahuni unaelewa maana yake?ni kwamba tutaanzia kanisani kujichunguza kama na sisi wenyewe kuna wahusika maana adhabu yetu itakuwa kubwa sana inastahili kumlenga mtu sahihi.sijui umenielewa?
 
Asiye na dhambi amnyoshee mwenzake kidole.Usifanye kisasi wala kinyongo juu ya wana wa watu wako,bali umpende jirani yako kama nafsi yako.Mimi ndimi Bwana.

ngojea mwanao achinjwe tuone kama utaendelea kutuma post za aina hii!
 
Tunahitaji kumuuliza Mungu kuhusu ya moyo ambayo Mungu anajisikia kupitia tukio hilo. Pasipo kujua moyo wa Mungu hatuwezi kutatua tatizo hilo. Ndugu zangu wakristo, tuende mbele ya Mungu ili tujue moyo wake. Tuangalie hali ya sasa na waislamu wenzetu kwa moyo wa Mungu. Kama hivyo hatutatumbukia katika vita.
 
Naomba kuuliza Gaidi Ilunga kakamatwa?
Kama hajakamatwa Mwema, jk wanafiki mbona mshukiwa namba moja ni huyu
 
Ninawashangaa sana viongozi wetu kukaa kimya, na kuyafumbia macho mambo kama haya. Tunasema na sisi wakristu tumechoka kuvumilia. Kama serikali inashindwa kulifanyia kazi sisi wenyewe, uwezo tunao, wa kupambana na hali hii. Tumechoka kunyanyaswa tuko tayari kwa lolote.
 
Tumechoshwa na AMANI tunajidanganya kufikiri kuwa VURUGU zitatuacha pazuri. Ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha anapinga vikali UDINI unaoendelea kushika kasi kila kukicha. MUNGU tusaidie.....!
 
Viongozi wetu bado wanautumia ule usemi wa "MTOTO AKILILIA WEMBE MPE" pale wanapoamua kukaa kimya huku wakishuhudia matukio yanayohatarisha amani hapa Nchini. Huo usemi haupaswi kuzingatiwa katika hili.
 
Hii nchi hii..!, kazi ya mahubiri ya Sheikh Ilunga imeanza kuonekana....

Acha juchochea ujinga unaposema ilunga kahusika una maana ilunga ndo kawatuma wauwaji? Halafu mbona maaskofu walisema itamwagwa damu kama oic, na kadhi ikiruhusiwa nchini waislam hawajasema lkn ikunga kuongea kidogo tu mnaanza kujenga chuki, jitahidi kuumiza kichwa kufikiri.
 
Naomba kuuliza Gaidi Ilunga kakamatwa?
Kama hajakamatwa Mwema, jk wanafiki mbona mshukiwa namba moja ni huyu

Tusaudie ushahidi wa ilunga kuwa mshukiwa kama sii kutaka kuvuruga aman, ilaum serikali yako.
 
Hiki ni kipindi kigumu, tena cha KWARESMA, wakatoliki muweke busara mbele na upendo kwa UISLAM; msiwe waropokaje, ZIACHIWE mamlaka za kiserikali zitoe tamko rasmi kuhusiana na tukio lililotokea; AMIN!

Unfortunately there is no Govt na kama ipo basi ipo usingizini!!! Hatuna viongozi wenye maono na kama wapo basi ni sehemu ya linalotokea.
 
Mi nilizani kama ma great thinker mtajadili kwa ajili ya kupata suluhisho,kama nyie ni wasomi na magreat thinker.Na mnachangia kwa kuonyesha waziwazi mko upande upi(your emotions are affecting your ability to analyze issues),badala ya kutafuta suluhisho mnaanza kunyoosheana vidole.
Itakuwaje kwa wale ambao hata hawakufanikiwa kufika shule.Naipenda psychology kwani inahusika sana katika maisha yetu,kuna tatizo badala ya kutafuta suluhisho unaanza kumlaumu mwenzako.It is easy to change yourself than to try to change the other person.
Mjadili vyovyote muwezayo ila mjue popote penye mtu zaidi ya mmoja kutofautiana ni kawaida."If two people agree in everything one of them is not thinking."
Mimi niko tayari kujiunga na kundi lolote,na kufanya chochote ila tu kundi hilo liwe linatetea maslahi ya wananchi wote na si dini au kabila fulani.
Wengi hapa ni wakristu au waislamu kwa sababu mmejikuta mmezaliwa kwenye familia hizo.Je ulishawahi kujifunza kuhusu dini ya wenzako ikoje,wanaamini nini,sheria zao zikoje?Wangapi mlishawauliza wazazi wenu kwani nini ni wakristu au waislam?Wengi hamjawahi.
Kwa kifupi katika jamii yeyote muda wowote "there is always people who want to be deceived" ndiyo maana ukianzisha jambo lolote hata kama ni la ajabu you will alway get members.
Maisha ni magumu kwa wengi wetu,mara nyingi mambo yanapokuwa magumu mwanadamu hutafuta mtu wa kumlaumu badala ya kujiangalia yeye mwenyewe.
Huwa sipendi sana kuchangia mambo ya imani za watu kwani naamini dunia haiwezi kuwa na dini moja nahata ikiwepo dini moja lazima ndani ya dini hiyo patagawanyika.
Ushauri wangu wewe kama ni mkristu soma Qur'an,Shari'ah law na sunnah na kama ni mwisilam soma Biblia jifunze ili ujue hawa wenzako kwa nini wanaamini hicho wanachoamini na kwa nini wako hivyo walivyo.You can not know how a cow feel if you are not one.
Nashaangaa mwana JF anajiita expert,Senior member(of course ni software ndiyo inawapa majina hayo mnapomeet predefined criteria) anafanya generalization(all,everyone,everybody,..)viongozi wa dini ruksa kuteleza kumbuka ni wanadamu kama wewe they are not perfect."We are human becoming rather than human being."
Kama ulikuwa hujui kila binadamu ana "dark side" ana mabaya yake aliyoyaficha anayajua mwenyewe.Hata viongozi wa dini wana mabaya yao.
Tatizo nalirudia tene watu imani zao zimepungua ,wameshindwa kufuata matakwa ya Mungu/Allah mmekuwa washabiki wa dini na wengi hawajui vizuri misingi ya dini zao.Kwa kifupi nina basic knowlegde ya dini hizi mbili,kama waumini wangekuwa strict kama dini zao zinavyowataka pangekuwa hapatoshi.
One among the thing Muslim and Christians share in common is the ten commandments
je wangapi hamsemi uongo,wangapi hamzini?Tuache unafiki ila ukiitwa kushabikia dini yako uko tayari kufa.
Kam wewe ni mbaguzi wa watu kwa imani yao samahani nikikukwaza ila maisha yako hayazidi miaka120 sasa siku mmoja utatoweka.Read between line the quote below,digest it.Remember we are who we choose to be.

[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]"We must learn to live together as brothers, or we are going to perish together as fools." -- Martin Luther King, Jr[/FONT]
 
Ingependeza zaidi kama serikali kwanza itaanzisha uchunguzi wake kwa wakuu wa makanisa kwa siri, yaani waangalie mahusiano baina ya viongozi wa makanisa zanzibar jee! Hawa watu hawana ugomvi miongoni mwao? au hawajawahi kugombana hapo kabla, haya yakawa ni mambo ya kulipiza kisasi,au hawajawahi kugombania. vyeo pakazaliwa makundi mawili yanayo hasimiana yaani kundi moja linawaunga mkono wateule na moja haliwaungi mkono walio teuliwa?isije ikawa kuna watu wanataka vyeo hapo.
Pili waangalie yule padri aliye jeruhiwa kwa risasi inawezekana ikawa walikuwa kundi moja na huyu aliye uwawa, ikawa hawapendezi katika uongozi wao na hivyo kupangwa njama za kuwahujumu.
Tatu yaangaliwe mahusiano ya huyu padri aliye jeruhiwa na huyu aliye uwawa jee! walikuwa mahusiano gani? hawakuwa na bifu huko nyuma, maana yake mambo haya ni kama mduwara mara nyingi huwa yanazunguka .
Maoni yangu bado ni mapema mno kuanza kushutumu watu hasa wazanzibari, kwani wazanzibari hawana asili ya ku wauwa wakristo, na zaidi sio rahisi mzanzibari wa kawaida kumiliki silaha, na ushahidi wa hayo kama wazanzibari wananiliki silaha vurugu zilizotokea hivi makaribuni basi tayari silaha hizo zingali tumika japo mara moja mbona hilo halikutokea, iweje leo kimya kimetawala watookee watu wamuuwe mtu asiekuwa na hatia jee hapa pana sirigani?
Hapa sio bure ipo namna, serikali lazima ije na jibu sahihi hali hii ikomeshwe, isiwe ni dini fulani au kundi fulani linalo shutumiwa (linatumiwa kama chaka) kumbe kuna jambo nyuma ya pazia lime fichwa. Tunamuomba M/Mungu aijaalie Tanzania kila la kheri na awaangamize kila wanao ipangia mabaya Tanzania NA WATU WAKE amin.

Ukabila kati ya hawa madri wawili ...jee sio tatizo ?
 
Watu hawa wenye ukosefu wa maono , wenye ufinyu wa fikra, wenye uelewa mdogo, wanaishia kupandikizwa somo la ujuha ndani ya bongo zao, wanapandikizwa chuki pia, bila kufikiri na kupambanua juu ya ubaya unaoelezwa juu ya ndugu zao, wakisto, tulioishi pamoja kama ndugu kwa kipindi je twaweza kuwa wabaya wao? wao wanavaa chuki hiyo na kuanza kutenda uovu ambao hata huyo wanaemwita mtume wao, hakika hapendezwi na mambo yao hata angekuwa Lusifa bado kwa ujinga huu angewakana lo Waislam amkeni fungukeni jamani acheni fikra tasa hizi mtaishia pabaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom