ndiyomkuusana
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 666
- 426
Unajua Dada kuna watu wamekaa kipropaganda wakati wenzao wana kufa tuache propaganda , Tuwambie wenzetu waislam huko Zanzibar mambo yanayoyafanya sio Mazuri tunakoelekea ni kubaya zaidi sasa kama wewe unaleta propaganda , wenzenu wakristo huko Zanzibar wataendelea kuuwawa. Wakeemeni kwa mabaya wanayo yafanya ,tuache Siasa jamani kwenye Mambo Serioushalafu nyie muslim popote pale,mnaofanya hivi vitu,msifikiri kukaa kwetu kimya wakristo ni wajinga!tunajua mnatafuta pa kuanzia,bt mungu wetu atawaadhibu vibaya!
Yaani mna roho mbaya km nn!!ss hapo mmepata faida gani!(ama kweli ufunuo wa yohana unatimia)hakika huyu ni mpinga kristo!!
