beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais Hussein Mwinyi amefanya Uteuzi wa Viongozi mbalimbali leo Septemba 17, 2021. Silima Juma Khamis ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji na Utumishi
Wengine walioteuliwa ni Lt. Col. Haji Sheha Khamis anayekuwa Mratibu wa Idara Maalum za SMZ na Makame Mussa Mwadini anakuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii
Wengine walioteuliwa ni Lt. Col. Haji Sheha Khamis anayekuwa Mratibu wa Idara Maalum za SMZ na Makame Mussa Mwadini anakuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii